kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,392
hii maada ukisoma kwa nje ni tofauti na yaliyomo ndani, heb rekebisha kichwa cha habari kwanza ili tuelewane
Analialia toka mwezi wa 8 hajanywa chai...'si alisema msajili si lolote?'Ruzuku baba inatia akili
Hakika.Si mbaya, utengano unatusaidia nini. Umoja ni nguvu
Mdahalo wa nini sasa?huyu sio timamu,mdahalo wote mpo chama kimoja kwa faida ya naniAcheni kupotosha, Maalim Seif amesema yupo tayari kufanya Mdahalo na Bwana Yule lakini huwa anamkwepa sana
Hilo ndilo wanaloficha wachumia tumbo wa ccm .Acheni kupotosha, Maalim Seif amesema yupo tayari kufanya Mdahalo na Bwana Yule lakini huwa anamkwepa sana
Bila polisi lipumba hatofika .Mdahalo wa nini sasa?huyu sio timamu,mdahalo wote mpo chama kimoja kwa faida ya nani
Utamdanganya nani ? Tangu lini mdahalo ukawa mazungumzo ?Aufute kwa sababu zipi?? Kuwe NYUMBU ni tatizo kubwa sana
Signature
WEKENI AKIBA YA MANENO by ZZK
Hoja hapa ni Seif kumpigia goti Profesa Lipumba..mengine yote mbwembwe tu.Bila polisi lipumba hatofika .
Unalia nini sasa....toa hoja yako inayoonyesha mdahalo kwa ushahidi la sivyo unajidharaulisha tu.Utamdanganya nani ? Tangu lini mdahalo ukawa mazungumzo ?
Ndg yangu usishabikie uwongo kama zuzu Fanya utafiti. Alichosema Maalimu ni kuwa yupo tayari kufanya mdaharo na profesa uchwara na wala si mazungumzo. Tofautisha mazungumzo na mdaharo
Kama ni kweli
Nataka niwaone walio kuwa wana m dis prof watasemaje!!
Tujifunze kuweka akiba ya maneno jamani.