Maalim Seif: Nia ya Nyerere ilikuwa ni kuimeza Zanzibar

Huko Singapore ni wapi seif anataka awapeleke wa Zanzibar? Ndiyo maana huyu mzee hawampi nchi kwa sababu zake za kutaka kuvunja muungano.
 
Anazidi kupagawa, Nyerere angeimalizaje Zenji, vile visiwa binadamu anavimalizaje, mzee anazeeka vibaya huku anajichongea kaburi lake la siasa. Kama maua yanavyochanua na kunyauka ndivo inavomtokea Maalim. Bahati mbaya ananyauka na kisirani.
 
Anazidi kupagawa, Nyerere angeimalizaje Zenji, vile visiwa binadamu anavimalizaje, mzee anazeeka vibaya huku anajichongea kaburi lake la siasa. Kama maua yanavyochanua na kunyauka ndivo inavomtokea Maalim. Bahati mbaya ananyauka na kisirani.

Nafikiri amekusudia kuvimaliza Visiwa vya Zanzibar Kisiasa sivyo nyenginevyo.....
 
Na Kafanikiwa kweli!

1984 Alitumika huyo huyo Seif kumfanyia Fitna Al marhuum Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi aliekuwa anakaribia kukata Minyororo ya Nyerere kwa Zanzibar lakin Seif Sharif Hamad akasimama kidete kuwa Upande wa Tanganyika kupinga Serikal 3 na tangu hapo Wazanzibar hawaaminiani kwa kuwa huamini kwny Mikakat Yao kuna uwezekano Vi Seif Sharif kadhaa vikawepo.

1964 Zanzibar Empire ilijiunga na Tanganyika.
2016 Zanzibar Minicipal Rais Wake anachaguliwa Dodoma na Wajumbe wa NEC kutoka Mbambabay , Nshamba Muleba, n.k. Seif ndio anabeba Msalaba huu asijifanye Sungura kumtupia Nyerere.
 
Mzee anastahili kuwa rais na mnaomponda msidhani Zanzibar itabaki ktk muungano milele.
Wana haki ya kufai nchi yao na si kulazimishwa kuwa sehemu ya Muungano.
 
Maalim is just hopeless person who has lost vision and very very stupid ever in zanzibar.
 
Mzee kachanganyikiwa na ndoto za urais asubiri uchaguzi 2020 apigwe chini tena
 
Na Kafanikiwa kweli!

1984 Alitumika huyo huyo Seif kumfanyia Fitna Al marhuum Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi aliekuwa anakaribia kukata Minyororo ya Nyerere kwa Zanzibar lakin Seif Sharif Hamad akasimama kidete kuwa Upande wa Tanganyika kupinga Serikal 3 na tangu hapo Wazanzibar hawaaminiani kwa kuwa huamini kwny Mikakat Yao kuna uwezekano Vi Seif Sharif kadhaa vikawepo.

1964 Zanzibar Empire ilijiunga na Tanganyika.
2016 Zanzibar Minicipal Rais Wake anachaguliwa Dodoma na Wajumbe wa NEC kutoka Mbambabay , Nshamba Muleba, n.k. Seif ndio anabeba Msalaba huu asijifanye Sungura kumtupia Nyerere.

Naukumbuka wakati wa utawala wa Aboud Jumbe ,huyu raisi alikuwa dikteta kwelikweli,Wazanzibari tulikuwa sote tunavaa nguo za aina moja kwa jina "vitenge maalumu",kula kwa kadi "ration",kununua mkate wa boflo inabidi uamke saa tisa alfajiri ukae foleni mkate unapa saa mbili asubuhi,sembe la njano kwa ugari.wazanzibari walianza kula ugari wakati wa utawala wa Jumbe

Kama kweli Maalim kafanya hayo aliyoyafanya kumzuia Jumbe asitoke kwenye muungano basi maalim alifanya jambo la maana sana kwani huyu jamaa sijui angelitupeleka wapi,Maalim aliinusuru Zanzibar isiangamie kama anavyojitahidi hivi sasa.
 
Naukumbuka wakati wa utawala wa Aboud Jumbe ,huyu raisi alikuwa dikteta kwelikweli,Wazanzibari tulikuwa sote tunavaa nguo za aina moja kwa jina "vitenge maalumu",kula kwa kadi "ration",kununua mkate wa boflo inabidi uamke saa tisa alfajiri ukae foleni mkate unapa saa mbili asubuhi,sembe la njano kwa ugari.wazanzibari walianza kula ugari wakati wa utawala wa Jumbe

Kama kweli Maalim kafanya hayo aliyoyafanya kumzuia Jumbe asitoke kwenye muungano basi maalim alifanya jambo la maana sana kwani huyu jamaa sijui angelitupeleka wapi,Maalim aliinusuru Zanzibar isiangamie kama anavyojitahidi hivi sasa.

Hakuna Rais wa Zanzibar aliefanya Makubwa ya kidemokrasia Kama huyu Jumbe ngoja niainishe hapa kwa ufupi

1) Aboud Jumbe ndie alieachana na Siasa za kihafidhina na kibaguzi akawapa Fursa Wapemba waliotengwa tangu Mapinduzi na mmoja wao ndio akawa Seif Sharif Hamad

2) 1979 Aliwezesha Znazibar kuwa na Baraza lake la Kutunga Sheria na Zanzibar ikapata Katiba yake na kuachana na Kuongozwa kwa amri za Rais ( Decree)

3) Bills of Human Rights ziliingizwa kwny Katiba ya Zanzibar kabla Katiba ya Jamhuri haijatambua haki hizo

4) Aliandaa Paper sio Mapinduzi kwenda NEC ya CCM wakapambane hoja kwa hoja na Mwl Nyerere kutetea Mamlaka kamili ya Znazibar Jan 1984 lakin Seif Sharif akavujisha hizo paper kwa Mwl na Matokeo yake kikao kikaitishwa sio kujadili hiyo Paper Bali kujadili kumvua Jumbe Madaraka.

Huo Mtikisiko wa Kiuchumi unaosema Zanzibar haikuwa sehemu ya Mjadala wala sababu ya kutoswa Aboud Jumbe kwa kuwa hata huku Bara Hali ilikuwa mbaya zaid kiasi cha Kununua bidhaa muhimu kwa barua ya Mjumbe kwny Madukani ya ushirika kwa kutumia kadi.


Seif Sharif atateseka Mpaka Mwisho wa Maisha yake na Inshallah hatokuwa Rais wa Zanzibar na Madhila yote wayapatayo wa Zanzibar kutokana na 'koti' hili la Muungano wakulaumiwa ji huyo Seif Sharif Hamad!
 
Back
Top Bottom