Kama ni mchezo wa karata wa last card Maalim Seif karata yake ya mwisho ilikuwa Joker.
Paskali ifike wakati Watanzania tuache unafki, siasa na dini ni kama samaki na maji.Mkuu Matola, kwa vile tunahimizwa sana tusichanganye dini na siasa, na kwa vile Chama cha CUF kiliwahi kunasibishwa na dini fulani, please usitumie maneno ya maudhi kwa watu wa dini nyingine, mfano wa neno " said ya kafir", sote tunaelewa ni watu wa dini gani huwaita wengine kafir na hao wanaoitwa kafir ni watu wa dini gani, hivyo ningeomba tuziepuke comments za aina hii ili hata sisi ambao tuko very comfortable na ACT, tuendelee kuiona ACT Wazalendo ni ile ile na sio CUF imebadili jina.
P
Ha ha bashite baba Chupa walionufaika na ukawa bara walikuwa cuf waliovuna Idadi ya wabunge ambao hawakuwahi kuwa una maazmio ya zanzibarAlieshinda Ni Zitto. Chadema Hawana Namna Nyingine Zaidi Ya Kumpigia Magoti Zitto Ajiunge Na Ukawa
Hata bila ya kupigiwa magoti,Zitto mwenyew anafahamu ukawa bado ndo nguvu yake.Alieshinda Ni Zitto. Chadema Hawana Namna Nyingine Zaidi Ya Kumpigia Magoti Zitto Ajiunge Na Ukawa
Unataka kutoa Hukmu ya kisiasa mpaka ndani ya DiniKweli wewe ni mcha Mungu, licha ya uswahiba wako na Profesa Lipumba lakini umeamuwa kusimama kwenye kweli.
Cuf imekufa rasmi leo na hata misikitini huyu Lipumba anapaswa kutengwa indirect ni msaliti wa waislamu pia, huyu ni zaidi ya kafir.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunachokiona ni siasa za sura ya mtu badala ya imani inayojengeka katika itikadi.
Hili ni tatizo kubwa nchini ambalo baadhi ya watu/wachambuzi wa siasa wanajaribu kuliepuka ama kwa vile ni wanafiki au hawajui ukubwa wa tatizo.
Kwa hiyo Maalim Seif akiaga dunia hata wafuasi tunaowaona wanamfuata pia wataaga dunia ndani ya chama?
Ndio yaleyale ya Lowassa na kundi la Ulipo Tupo!
Hizi ni siasa za kufuata kivuli cha mtu badala ya kivuli cha nguzo za itikadi.
Huu ni umasikini wa fikra za siasa za masuala yanayobebwa na itikadi.
Yaani Maalim Seif akiondoka duniani basi tunaanza tena upya kutafuta Maalim Seif mwingine!
Kumbe Mohamed Said ni rafiki wa Lipumba ?Kweli wewe ni mcha Mungu, licha ya uswahiba wako na Profesa Lipumba lakini umeamuwa kusimama kwenye kweli.
Cuf imekufa rasmi leo na hata misikitini huyu Lipumba anapaswa kutengwa indirect ni msaliti wa waislamu pia, huyu ni zaidi ya kafir.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chama cha siasa ni watu , na ndio maana ccm baada ya kukosa watu kikageukia udikteta .Siasa ya Tanzania itabaki kuwa si hasa kwa mtazamo wangu. Nawatakia kila la heri.
Kikwete mlisema dhaifu, Magufuli mnasema Dikteta.Chama cha siasa ni watu , na ndio maana ccm baada ya kukosa watu kikageukia udikteta .
yote uliza wewe jibu weweKikwete mlisema dhaifu, Magufuli mnasema Dikteta.
Seif Malaika. Au siyo?
Nafahamu, mara nyingi si rahisi.yote uliza wewe jibu wewe
hata kwa akili ya kawaida unadhani tulisema kikwete ni dhaifu kwa vile alikuwa hauwi watu ? au kwa vile viroba vya maiti vilikuwa haviokotwi coco beach ? sijui sasa hivi ukoje au ushaanza kubugia kitimoto ?Nafahamu, mara nyingi si rahisi.
Seif hajawahi kuwa CCM?hata kwa akili ya kawaida unadhani tulisema kikwete ni dhaifu kwa vile alikuwa hauwi watu ? au kwa vile viroba vya maiti vilikuwa haviokotwi coco beach ? sijui sasa hivi ukoje au ushaanza kubugia kitimoto ?
Unaweza kutuambia itikadi ya CCM.Tunachokiona ni siasa za sura ya mtu badala ya imani inayojengeka katika itikadi.
Hili ni tatizo kubwa nchini ambalo baadhi ya watu/wachambuzi wa siasa wanajaribu kuliepuka ama kwa vile ni wanafiki au hawajui ukubwa wa tatizo.
Kwa hiyo Maalim Seif akiaga dunia hata wafuasi tunaowaona wanamfuata pia wataaga dunia ndani ya chama?
Ndio yaleyale ya Lowassa na kundi la Ulipo Tupo!
Hizi ni siasa za kufuata kivuli cha mtu badala ya kivuli cha nguzo za itikadi.
Huu ni umasikini wa fikra za siasa za masuala yanayobebwa na itikadi.
Yaani Maalim Seif akiondoka duniani basi tunaanza tena upya kutafuta Maalim Seif mwingine!
Hayo maswali ungewauliza kwanza wale wanaotangaza kuhamia ccm ili kuunga mkono juhudi za Magufuli, je ikitokea Magufuli akafa watakufa nae.?Tunachokiona ni siasa za sura ya mtu badala ya imani inayojengeka katika itikadi.
Hili ni tatizo kubwa nchini ambalo baadhi ya watu/wachambuzi wa siasa wanajaribu kuliepuka ama kwa vile ni wanafiki au hawajui ukubwa wa tatizo.
Kwa hiyo Maalim Seif akiaga dunia hata wafuasi tunaowaona wanamfuata pia wataaga dunia ndani ya chama?
Ndio yaleyale ya Lowassa na kundi la Ulipo Tupo!
Hizi ni siasa za kufuata kivuli cha mtu badala ya kivuli cha nguzo za itikadi.
Huu ni umasikini wa fikra za siasa za masuala yanayobebwa na itikadi.
Yaani Maalim Seif akiondoka duniani basi tunaanza tena upya kutafuta Maalim Seif mwingine!
Aisee kwahiyo seif akifa mnafanyaje hasaWell said, vyama viko mioyoni mwa watu! Umepotea sana btw.
Mbunge Amtosa Maalim Seif Mchana Kweupe, Amfuata Prof. Lipumba - Video - Global PublishersMtaji wa kwanza wa siasa ni watu , hizo itikadi huja baadaye , ukiangalia hata ccm imeachana na Itikadi imeamua kukumbatia udikteta na mauaji tu ili kutisha wengine , hii ni kwa vile haina watu