Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,630
Taarifa Muhimu:
Kesho saa 5 asubuhi Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad atawasili Dar es Salaam akitokea Unguja na Boat ya Azam Marine.
Wapenzi na WANACUF WOTE JIJINI DAR ES SALAAM asibaki mtu nyumbani tukiwa na sare za CHAMA twendeni tukampokee Katibu Mkuu wetu na baadae kuelekea ofisi za Wabunge Magomeni.
Upatapo taarifa hii mjulishe mwenzio. Wasioweza kuja Bandarini watusubiri Magomeni.
Maharagande
Naibu MKURUGENZI HABARI
15/3/2019
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho saa 5 asubuhi Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad atawasili Dar es Salaam akitokea Unguja na Boat ya Azam Marine.
Wapenzi na WANACUF WOTE JIJINI DAR ES SALAAM asibaki mtu nyumbani tukiwa na sare za CHAMA twendeni tukampokee Katibu Mkuu wetu na baadae kuelekea ofisi za Wabunge Magomeni.
Upatapo taarifa hii mjulishe mwenzio. Wasioweza kuja Bandarini watusubiri Magomeni.
Maharagande
Naibu MKURUGENZI HABARI
15/3/2019
Sent using Jamii Forums mobile app