Maalim seif kuunguruma London

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,809
As received:

MKUTANO WA HADHARA
MAALIM SEIF SHARIF KUNGURUMA LONDON

Jumuiya ya wazanzibari UK (ZAWA) inafuraha kuwaalika mkutano wa hadhara utakaohutubiwa na Katibu Mkuu CUF-Taifa Maalim SEIF SHARIFF HAMAD.

Wazanzibari wote, wake kwa waume, waliopo UK na nchi za jirani wanakaribishwa kuhudhuria. Huu ni mkutano wa kihistoria na wa kwanza kufanyika London baada ya makubaliano yaliyofikiwa baina ya CUF na CCM Zanzibar.

Kwa vile London ina umuhimu mkubwa katika siasa za Zanzibar tunamshukuru Maalim Seif kututunukia ziara yake kama Wazanzibari wa mwanzo Ulimwenguni kuhutubiwa baada ya maridhiano kupitishwa.

SIKU NA PAHALA
Jumamosi ya tarehe 13/02/2010

Ukumbi wa Durning Hall

ADDRESS:
Earlham Grove,
Forest Gate
London,
E7 9AB ,
(Nyuma ya Mangala Solicitor.

Kwa maelekezo zaidi ya pahala piga simu No: 02085363800

UFIKAJI/USAFIRI
Bus: 25, 86, 58
Train. Forest Gate station (British rail)

WAKATI: Saa saba na nusu mchana (1.30PM)

WAHUSIKA: Kwa maelezo zaidi piga simu No:
07957654192, 07960355753,
07508016265, 0783180339
 
As received:

MKUTANO WA HADHARA
MAALIM SEIF SHARIF KUNGURUMA LONDON

Jumuiya ya wazanzibari UK (ZAWA) inafuraha kuwaalika mkutano wa hadhara utakaohutubiwa na Katibu Mkuu CUF-Taifa Maalim SEIF SHARIFF HAMAD.

Wazanzibari wote, wake kwa waume, waliopo UK na nchi za jirani wanakaribishwa kuhudhuria. Huu ni mkutano wa kihistoria na wa kwanza kufanyika London baada ya makubaliano yaliyofikiwa baina ya CUF na CCM Zanzibar.

Kwa vile London ina umuhimu mkubwa katika siasa za Zanzibar tunamshukuru Maalim Seif kututunukia ziara yake kama Wazanzibari wa mwanzo Ulimwenguni kuhutubiwa baada ya maridhiano kupitishwa.

SIKU NA PAHALA
Jumamosi ya tarehe 13/02/2010

Ukumbi wa Durning Hall

ADDRESS:
Earlham Grove,
Forest Gate
London,
E7 9AB ,
(Nyuma ya Mangala Solicitor.

Kwa maelekezo zaidi ya pahala piga simu No: 02085363800

UFIKAJI/USAFIRI
Bus: 25, 86, 58
Train. Forest Gate station (British rail)

WAKATI: Saa saba na nusu mchana (1.30PM)

WAHUSIKA: Kwa maelezo zaidi piga simu No:
07957654192, 07960355753,
07508016265, 0783180339
XP,
Wasio Wanzanzibari je hawastahili kuhudhuria?? labda niliweke swali vingine Mtanzania bara/Mtanganyika ana haki ya kuhudhuria??
 
XP,
Wasio Wanzanzibari je hawastahili kuhudhuria?? labda niliweke swali vingine Mtanzania bara/Mtanganyika ana haki ya kuhudhuria??
Taarifa niliyoletewa mimi mwisho wa tangazo limeandikwa neno:

………..NYOTE MNAKARIBISHWA………

Hii inaonyesha kuwa mkutano ni wa kila Mtanzania, ila msisitizo umewekwa kwa Wazanzibar kwa vile yale makubaliano yaliyofikiwa baina ya CUF na CCM kule Zanzibar, ni kwa Wazanzibar.

Ila kwa taarifa zaidi piga hizo namba simu hapo juu.

Thanks.
 
Tunamwombea Aungurume vizuri na mafanikio ya kuunguruma.
 
As received:

MKUTANO WA HADHARA
MAALIM SEIF SHARIF KUNGURUMA LONDON

Jumuiya ya wazanzibari UK (ZAWA) inafuraha kuwaalika mkutano wa hadhara utakaohutubiwa na Katibu Mkuu CUF-Taifa Maalim SEIF SHARIFF HAMAD.

Wazanzibari wote, wake kwa waume, waliopo UK na nchi za jirani wanakaribishwa kuhudhuria. Huu ni mkutano wa kihistoria na wa kwanza kufanyika London baada ya makubaliano yaliyofikiwa baina ya CUF na CCM Zanzibar.

Kwa vile London ina umuhimu mkubwa katika siasa za Zanzibar tunamshukuru Maalim Seif kututunukia ziara yake kama Wazanzibari wa mwanzo Ulimwenguni kuhutubiwa baada ya maridhiano kupitishwa.

SIKU NA PAHALA
Jumamosi ya tarehe 13/02/2010

Ukumbi wa Durning Hall

ADDRESS:
Earlham Grove,
Forest Gate
London,
E7 9AB ,
(Nyuma ya Mangala Solicitor.

Kwa maelekezo zaidi ya pahala piga simu No: 02085363800

UFIKAJI/USAFIRI
Bus: 25, 86, 58
Train. Forest Gate station (British rail)

WAKATI: Saa saba na nusu mchana (1.30PM)

WAHUSIKA: Kwa maelezo zaidi piga simu No:
07957654192, 07960355753,
07508016265, 0783180339
Mufanye Murudi Nyumbani Muache kujiripuwa Kusema Nyinyi Ni Wasomali Wakati Nyinyi ni Wazanzibar Njooni Mujenge Nchi yetu jamani

Mkuu X-PASTER Kumbe Wewe Uko London?
 
Mufanye Murudi Nyumbani Muache kujiripuwa Kusema Nyinyi Ni Wasomali Wakati Nyinyi ni Wazanzibar Njooni Mujenge Nchi yetu jamani

Mkuu X-PASTER Kumbe Wewe Uko London?



Sidhani kila anaeishi London kajilipua, wako tafauti na pia wanweza kujenga nchi wakiwa London, US na kwengineko sio lazima kurudi Tanzania ndio unaweza kujenga nchi. Hivi wako wangapi hapa Tanzania na kazi zao kubomoa nchi?
 
tutahudhuria mkuu xp,wala usijali napia ni kwa watanzania wooote mnaruhusiwa kuhudhuria,shime tujitokeze kwa wingi bila kukosa.
 
Mufanye Murudi Nyumbani Muache kujiripuwa Kusema Nyinyi Ni Wasomali Wakati Nyinyi ni Wazanzibar Njooni Mujenge Nchi yetu jamani

Mkuu X-PASTER Kumbe Wewe Uko London?
Eeh! Mambo ya mkutano na Usomali wapi na wapi, alafu tena kujiripua...!? Daha! haya yetu macho!
 
Atakuwa anazungumzia nini?? i mean agenda?
Agenda
1.CCM ni chama bora ndo maana nikaamua kuungana nacho
2.Chagua CCM kwa wabara kwani Zanzibar bado tuko kwenye mazungumzo ya k usogeza mbele uchaguzi
3.Nikichaguliwa kuwa makamu wa Rais mtarudi nyumbani kwani ninaandaa mipango ya kuibadilisha Zanzibar ionekane kama ulaya vile nikishirikiana na Mh.Rais niliyemtambua Amani A.Karume,kwa hiyo mjiandae kurudi nyumbani
4.Mengineyo
 
Basi watu wa uhamiaji wa kija kwenye mkutano huo wa wazenj,watawakuta wasomali...he he he
 
Taarifa niliyoletewa mimi mwisho wa tangazo limeandikwa neno:

………..NYOTE MNAKARIBISHWA………

Hii inaonyesha kuwa mkutano ni wa kila Mtanzania, ila msisitizo umewekwa kwa Wazanzibar kwa vile yale makubaliano yaliyofikiwa baina ya CUF na CCM kule Zanzibar, ni kwa Wazanzibar.

Ila kwa taarifa zaidi piga hizo namba simu hapo juu.

Thanks.

Mmmh! Acha hizo mkuu, mbona haipo kwenye hilo tangazo?! Jaribu kuwa mkweli, wamealikwa Wazenji, huu ni mkutano wa Wazanzibari, haitakuwa busara kwa Wabara kuhudhuria katika mazingira kama haya.
 
miaka ya 99-00 jijini London,kulikuwa na Mzanzibar anaomba omba pale East Ham underground station,yuko wapi siku hizi?aliharibu sifa ya wazenj!nafikiri alikuwa amejilipua
 
As received:

MKUTANO WA HADHARA
MAALIM SEIF SHARIF KUNGURUMA LONDON


Jumuiya ya wazanzibari UK (ZAWA) inafuraha kuwaalika mkutano wa hadhara utakaohutubiwa na Katibu Mkuu CUF-Taifa Maalim SEIF SHARIFF HAMAD.

Wazanzibari wote, wake kwa waume, waliopo UK na nchi za jirani wanakaribishwa kuhudhuria. Huu ni mkutano wa kihistoria na wa kwanza kufanyika London baada ya makubaliano yaliyofikiwa baina ya CUF na CCM Zanzibar.

Kwa vile London ina umuhimu mkubwa katika siasa za Zanzibar tunamshukuru Maalim Seif kututunukia ziara yake kama Wazanzibari wa mwanzo Ulimwenguni kuhutubiwa baada ya maridhiano kupitishwa.

SIKU NA PAHALA
Jumamosi ya tarehe 13/02/2010

Ukumbi wa Durning Hall

ADDRESS:
Earlham Grove,
Forest Gate
London,
E7 9AB ,
(Nyuma ya Mangala Solicitor.

Kwa maelekezo zaidi ya pahala piga simu No: 02085363800

UFIKAJI/USAFIRI
Bus: 25, 86, 58
Train. Forest Gate station (British rail)

WAKATI: Saa saba na nusu mchana (1.30PM)

WAHUSIKA: Kwa maelezo zaidi piga simu No:
07957654192, 07960355753,
07508016265, 0783180339

Jumuiya ya wazanzibari UK (ZAWA) = CUF ???

Jumuiya ya Watanzania/Watanganyika UK (TA UK) = CCM???
Nauliza tu, maana naanza kupata hisia na mtazamo tofauti wa hizi Jumuiya ama ni wawakilishi wa vyama vya kisiasa ughaibuni?

Kumbe Wazanzibari sio Watanzania? au ndio kubagua wa kutoka Tanzania bara, je hao wazanzibari wanahold passport za Uraia gani?
Tanzania Bara na Tanzania Visiwani ingekaa vizuri kidogo katika tangazo lenu
 
Jumuiya ya wazanzibari UK (ZAWA) = CUF ???

Jumuiya ya Watanzania/Watanganyika UK (TA UK) = CCM???
Nauliza tu, maana naanza kupata hisia na mtazamo tofauti wa hizi Jumuiya ama ni wawakilishi wa vyama vya kisiasa ughaibuni?

Kumbe Wazanzibari sio Watanzania? au ndio kubagua wa kutoka Tanzania bara, je hao wazanzibari wanahold passport za Uraia gani?
Tanzania Bara na Tanzania Visiwani ingekaa vizuri kidogo katika tangazo lenu

Wanzazibar wao bado wanao utaifa wao, ila Watanganyika utaifa tulisha uunganisha kwenye Muungano.

Kila mtu anakaribishwa kwenye huo mkutano.

Kwa taarifa zaidi piga simu hapo juu.
 
Back
Top Bottom