Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,387
seif kutua arusha muda si mrefu,kuja kuongeza nguvu ya cuf katika kuwania nafasi nne za udiwani. Taarifa hizi zimewashtua sana chadema na kuanza kuweweseka juu ya ujio wa huyu mwanasiasa mkongwe na mjuvi wa siasa za upinzani hapa nchini
source:gari la matangazo
source:gari la matangazo