kwa mujibu wa taarifa za uhakika kutoka kisarawe , zinasema maalim seif atafanya mkutano mkubwa kisarawe 20/12/2013, na kufanya mikutano mingi ya ndani kwa lengo la kuhakikisha ushindi ktk uchaguzi wa serekali za mitaa na udiwani unaokuja.
source. mjumbe wa cuf kutoka kisarawe.
source. mjumbe wa cuf kutoka kisarawe.