Maalim Seif kuhamia ACT wazalendo inaweza kuwa ni mwanzo wapinzani kuunda chama kimoja na hii itakuwa ni matokeo ya matendo ya utawala huu wa Magufuli

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,991
144,326
Binafsi naona utawala huu wa Magufuli unawafanya wapinzani kuzishanda tofauti zao na moja ya matokeo ya hali hii inaweza kuwa ni wapinzani siku moja kufikia uamuzi wa kihistoria wa kuunganisha vyama vyao na kuunda chama kimoja.

Na hili linaweza kupata nguvu zaidi baada ya uchaguzi wa 2020 endapo wapinzani watachezewa foul na wakajikuta wamepoteza katika uchagui huo na hasa ikitokea vyama hivi vikubwa havipati kiti hata kimoja katika uchagui mkuu ujao sio kwa kushindwa,bali kwa kufanyiwa hujuma.

Kwa sasa sitaeleweka na wengi ila muda ndio utasema.
 
Binafsi naona utawala huu wa Magufuli unawafanya wapinzani kuzishanda tofauti zao na moja ya matokeo ya hali hii inaweza kuwa ni wapinzani siku moja kufikia uamuzi wa kihistoria wa kuunganisha vyama vyao na kuunda chama kimoja.

Na hili linaweza kupata nguvu zaidi baada ya uchaguzi wa 2020 endapo wapinzani watachezewa foul na wakajikuta wamepoteza katika uchagui huo na hasa ikitokea vyama hivi vikubwa havipati kiti hata kimoja katika uchagui mkuu ujao sio kwa kushindwa,bali kwa kufanyiwa hujuma.

Kwa sasa sitaeleweka na wengi ila muda ndio utasema.
nakuambia hivi ACT inaenda kuwa chama tawala znz na CHADEMA chama tawala bara
 
Binafsi naona utawala huu wa Magufuli unawafanya wapinzani kuzishanda tofauti zao na moja ya matokeo ya hali hii inaweza kuwa ni wapinzani siku moja kufikia uamuzi wa kihistoria wa kuunganisha vyama vyao na kuunda chama kimoja.

Na hili linaweza kupata nguvu zaidi baada ya uchaguzi wa 2020 endapo wapinzani watachezewa foul na wakajikuta wamepoteza katika uchagui huo na hasa ikitokea vyama hivi vikubwa havipati kiti hata kimoja katika uchagui mkuu ujao sio kwa kushindwa,bali kwa kufanyiwa hujuma.

Kwa sasa sitaeleweka na wengi ila muda ndio utasema.
Juzi kulikuwa na ushauri cuf wote wahamie chadema lakini cuf wanaijua chadema ina watu wabinafsi na wanaojali matumbo yao hili la chama kimoja ni ndoto!
 
Binafsi naona utawala huu wa Magufuli unawafanya wapinzani kuzishanda tofauti zao na moja ya matokeo ya hali hii inaweza kuwa ni wapinzani siku moja kufikia uamuzi wa kihistoria wa kuunganisha vyama vyao na kuunda chama kimoja.

Na hili linaweza kupata nguvu zaidi baada ya uchaguzi wa 2020 endapo wapinzani watachezewa foul na wakajikuta wamepoteza katika uchagui huo na hasa ikitokea vyama hivi vikubwa havipati kiti hata kimoja katika uchagui mkuu ujao sio kwa kushindwa,bali kwa kufanyiwa hujuma.

Kwa sasa sitaeleweka na wengi ila muda ndio utasema.
Mbuzi pori wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom