Tetesi: Maalim Seif kugombea urais wa JMT, Mbowe mgombea mwenza Zitto Waziri Mkuu mtarajiwa; Lema kugombea Ubunge Hai

Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.

Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.

Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.

Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.

Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini

Maendeleo hayana vyama!
Lala uote tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.

Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.

Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.

Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.

Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini

Maendeleo hayana vyama!
Zitto Kabwe Waziri Mkuu, Lema Waziri wa Mambo ya ndani 🤣🤣🤣🤣🤣 Kiukweli Upinzani vichwa vimesafiri vimeacha kiwiliwili na akili 😎😎😎😆😆.
Zitto ameshindwa kujiongoza anataka amuongoze nani. Kumbuka Leo Asubuhi alikuwa Chocho flani akiwabembeleza Madiwani wamsamehe Meya.
Huyu anaweza kuongoza Serikali, huuu ni utani
 
Zitto Kabwe Waziri Mkuu, Lema Waziri wa Mambo ya ndani 🤣🤣🤣🤣🤣 Kiukweli Upinzani vichwa vimesafiri vimeacha kiwiliwili na akili 😎😎😎😆😆.
Zitto ameshindwa kujiongoza anataka amuongoze nani. Kumbuka Leo Asubuhi alikuwa Chocho flani akiwabembeleza Madiwani wamsamehe Meya.
Huyu anaweza kuongoza Serikali, huuu ni utani
Hahahaaaa....... Mbona aliweza kuongoza Daruso!
 
Kuelekea uchaguzi tetesi ni nyingi. Wengine wanadai kuwa:
Lissu ndiye atagombea urais wa JMT.
Lema ni palepale Arusha,
Mbowe ni paleale Hai,
Maalim ni palepale urais wa Zanzibar, na
Zitto ni palepale Kigoma mjini.
 
Kuelekea uchaguzi tetesi ni nyingi. Wengine wanadai kuwa:
Lissu ndiye atagombea urais wa JMT.
Lema ni palepale Arusha,
Mbowe ni paleale Hai,
Maalim ni palepale urais wa Zanzibar, na
Zitto ni palepale Kigoma mjini.
Mtu aliyefukuzwa ubunge na Spika kwa kupungukiwa uadilifu hawezi kupitishwa na NEC kugombea urais!
 
Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.

Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.

Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.

Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.

Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu kweli unahangaika kuwapangia safu wakati hivyo vyama vilikwisha kufa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Lema kipanga apewe internal affairs?,its a very big joke
Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.

Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.

Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.

Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.

Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.

Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.

Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.

Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.

Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini

Maendeleo hayana vyama!
Let the vote count. The rest is irrelevant to the people
 
Back
Top Bottom