Maalim Seif kaikimbia CUF lakini Wanalia CCM, Kwanini?

Mkuu Chakaza, nauliza tuu, hivi kuna mwana CCM wa ukweli analia?.
P
Nafikiri matumizi ya neno "wanalia" ndo inaweza kuwa shida. Hata hivyo point ya msingi ni kuwa CCM wamepigwa chenga inayowauma sana; na kuna wana CCm makini wanakiri kuumizwa na chenga hizo ambazo hawakuzitarajia, kama vile wamesahau mchezo wa siasa ulivyo.
 

Similar Discussions

18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom