Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Katibu mkuu wa cuf amesema hamad rashid sio mwanachama wa cuf kwakua alishafukuzwa hiyo cuf haina mpango nae;pia amewataka wana ukawa wasihofu ccm mwakani ndio mwisho wake watake wasitake timu ya ukawa imejipanga