Stephen Kagosi
Member
- Dec 10, 2011
- 16
- 1
yote hayo ni matunda ya ccm si wamewaoa tena kwa ndoa harari ukikubalikuolewa kubali kulala uchi cuf kazi kwenu
Maalimu Seif (Katibu mkuu wa Cuf na Makamu wa Kwanza wa Rais) ameporomosha matusi makuu Cuf Leo Buguruni baada ya kuwafukuza waandishi wa Habari.seif amewambia wanachama wa CUF Moa wa DSM kuwa Hamadi rashid ni Mwanaharamu na Mwendawazimu . Hata kama ukimuweka kwenye Chupa atajitokeza ili watu wamuone.!!Ametoa msimamo kuwa watu wote wanao muunga hamadi Rashid ni haramu pia na Chama kitawafukuza katika matawi yao!!!
Baada ya kutoa matusi hayo ambayo yalirudiwa mara kwa mara na kila aliyehutubia wakiwemo Julius mtatiro, Ismail Jussa na Khamas ally macharo wanachama waliokuwa wanasikiliza waliondoka kwa hasira!!!!!!!!!!!
kwani mwanaharamu ni tusi?? si maana yake mtoto wa nje ya ndoa?? mbona watoto wengi walozaliwa nyumba ndogo ni wanahar... u??? labda mwendawazimu kwani hamad rashid navyomfahamu si mwendawazimuMaalimu Seif (Katibu mkuu wa Cuf na Makamu wa Kwanza wa Rais) ameporomosha matusi makuu Cuf Leo Buguruni baada ya kuwafukuza waandishi wa Habari.seif amewambia wanachama wa CUF Moa wa DSM kuwa Hamadi rashid ni Mwanaharamu na Mwendawazimu . Hata kama ukimuweka kwenye Chupa atajitokeza ili watu wamuone.!!Ametoa msimamo kuwa watu wote wanao muunga hamadi Rashid ni haramu pia na Chama kitawafukuza katika matawi yao!!!Baada ya kutoa matusi hayo ambayo yalirudiwa mara kwa mara na kila aliyehutubia wakiwemo Julius mtatiro, Ismail Jussa na Khamas ally macharo wanachama waliokuwa wanasikiliza waliondoka kwa hasira!!!!!!!!!!!
CUF i see your natural death from very far. Mnavikumbuka NCCR na TLP, vilitingisha sana tena kutingisha Tanzania na sio Zanzibar tu! Where are they today? You are going the same way. Mbona mnatuangusha watanzania?
Inasemekana Seif hawezi kukemea ushoga!Mbona hata Seif ni mwanaharamu tena zaidi ya Hamad? Angejua origin ya wapemba asingethubutu kutaja neno mwanaharamu. Seif ameishiwa hata na mawazo zaidi ya yale ya kuwa nyumba ndogo ya CCM.