Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,405
- 1,086
Umekuwaje mkuu leo na wewe kutoa vitu kma hivyo...xbu cku zote najua huwa una majibu na hoja za kistaarabu?
Msamehe tu naona jazba imepanda baada ya kuudhiwa pengine. Ubinadamu tu umempitia huyo.