kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
tafsiri ya mwalimu kukua ya mwalimu imekuja kueleweka kadiri miaka inaposonga mbele...
kukua kwa mwalimu haina maana ya kuota mvi, kuota madevu au kuweza kumtia mwananke mimba.....
sijawahi kuona mtu asiyeheshimu wenzake kama maalim seif.....hata hivyo sijawahi kuona mtu mwenye kuheshimu watu kama dr ali mohammed shein.....
vitu ambavyo seif anamtendea bosi wake..ni mungu anajua....and sio surprise...seif atacontest tena kwenye uraisi 2015...
kukua kwa mwalimu haina maana ya kuota mvi, kuota madevu au kuweza kumtia mwananke mimba.....
sijawahi kuona mtu asiyeheshimu wenzake kama maalim seif.....hata hivyo sijawahi kuona mtu mwenye kuheshimu watu kama dr ali mohammed shein.....
vitu ambavyo seif anamtendea bosi wake..ni mungu anajua....and sio surprise...seif atacontest tena kwenye uraisi 2015...