Maalim Seif: CHADEMA waroho wa madaraka

Kweli Nyani haioni ....le. Maalim Saif anaweza kumsema mtu au chama chochote kuwa kina uroho wa madaraka! Yeye tangu mfumo wa Vyama vingi ndo anagombea Urais wa Zanzibar na anashindwa lakini hawezi kumwachia mtu mwingine. Tangu CUF imeanzishwa yeye ni Katibu Mkuu mpaka leo. Amefunga ndoa na CCM na kuua chama kisa ni kupenda madaraka. Leo hii anasema CHADEMA ni waroho wa madaraka? Anahitaji maombi aweze kujitambua.

Vile vile kapotoka Cuf haijawahi kufuzu kua kambi rasmi ya upinzani , % ya wabunge na kura za urais walizopata zilikua ndogo hivyo basi kikanuni ziliwalazimu waunde kambi kwa kushirikiana na vyama vingine .tofauti na hali ilivyo sasa kwa chadema
 
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hammad amekirushia kombora Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kile alichodai kinapoteza mwelekeo kutokana na fujo nyingi zinazotokea wakati wa vikao vya Bunge. Alisema fujo hizo, ni wazi zinaonekana kusababishwa na uroho wa madaraka.

Maalim Seif alitoa kauli hiyo juzi jijini hapa, wakati wa kampeni za kumnadi mgombea nafasi ya udiwani wa Kata ya Eralai, John Bayo.

Alisema wakati CUF, ilipofanikiwa kuongoza Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni chini ya uongozi wa Hammad Rashid Mohamed, kulikuwa na busara za hali ya juu katika uendeshaji wa vikao vyao.

Alisema kutokana na umoja na uaminifu ambao CUF ilikuwa nao, ndiyo ilimteua Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilbroad Slaa kuwa Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni.

“Wakati CUF inaongoza Kambi ya Upinzani Bungeni, tulikuwa na umoja mno, tulishirikiana na vyama vyote vya upinzani na naibu wetu, alikuwa Dk. Slaa.

“Ila wao Chadema, walipopata wakaanza kusema wao ni wao, ndugu zangu ndio maana leo hii mnaona Bunge limekuwa la fujo utadhani soko, watu wanamwaga matusi kama cherehani, maadili ya Bunge yameachwa,” alisema Hammad.

Alisema CUF ni chama chenye dira na kinachoona mbali, kwa sababu kimeundwa kwa lengo la kutetea maslahi ya wananchi wote na dira yao.

Kwa upande wake, Bayo akiomba kura alijikuta akiangua kilio mbele ya wananchi waliokuwa wakimsikiliza.

Bayo, ni moja ya madiwani waliotimuliwa CHADEMA kwa madai ya kupokea rushwa na kukisaliti chama hicho.

“Sijagusa hata senti kwa ajili ya kuwasaliti watu wangu, najua kitendo hicho kinakiuka maadili na kuwasaliti nyinyi mlionichagua.

Kwa hisani ya Mtanzania.
Hivi Seif aliapa kwa kiapi gani? Huo ujinga akaongee na watu wake wa Wete, yaani amekuwepo A Town kwa kodi za watanzania bado analeta ujinga? Kma wewe ndie wanfidhi wake tupe na yaliymkuta leo Soweto. Shame on you wake wa ccm maleberali.
 
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hammad amekirushia kombora Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kile alichodai kinapoteza mwelekeo kutokana na fujo nyingi zinazotokea wakati wa vikao vya Bunge. Alisema fujo hizo, ni wazi zinaonekana kusababishwa na uroho wa madaraka.

Maalim Seif alitoa kauli hiyo juzi jijini hapa, wakati wa kampeni za kumnadi mgombea nafasi ya udiwani wa Kata ya Eralai, John Bayo.

Alisema wakati CUF, ilipofanikiwa kuongoza Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni chini ya uongozi wa Hammad Rashid Mohamed, kulikuwa na busara za hali ya juu katika uendeshaji wa vikao vyao.

Alisema kutokana na umoja na uaminifu ambao CUF ilikuwa nao, ndiyo ilimteua Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilbroad Slaa kuwa Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni.

“Wakati CUF inaongoza Kambi ya Upinzani Bungeni, tulikuwa na umoja mno, tulishirikiana na vyama vyote vya upinzani na naibu wetu, alikuwa Dk. Slaa.

“Ila wao Chadema, walipopata wakaanza kusema wao ni wao, ndugu zangu ndio maana leo hii mnaona Bunge limekuwa la fujo utadhani soko, watu wanamwaga matusi kama cherehani, maadili ya Bunge yameachwa,” alisema Hammad.

Alisema CUF ni chama chenye dira na kinachoona mbali, kwa sababu kimeundwa kwa lengo la kutetea maslahi ya wananchi wote na dira yao.

Kwa upande wake, Bayo akiomba kura alijikuta akiangua kilio mbele ya wananchi waliokuwa wakimsikiliza.

Bayo, ni moja ya madiwani waliotimuliwa CHADEMA kwa madai ya kupokea rushwa na kukisaliti chama hicho.

“Sijagusa hata senti kwa ajili ya kuwasaliti watu wangu, najua kitendo hicho kinakiuka maadili na kuwasaliti nyinyi mlionichagua.

Kwa hisani ya Mtanzania.
Hivi Seif aliapa kwa kiapi gani? Huo ujinga akaongee na watu wake wa Wete, yaani amekuwepo A Town kwa kodi za watanzania bado analeta ujinga? Kma wewe ndie wanfidhi wake tupe na yalimkuta leo Soweto. Shame on you maleberali.
 
Mume na mke wanafivhoana siri. Seif uko Arusha mji wa werevu hukko Chokovho. Vhunga mdomo wako
 
Bila kumung'unya maneno....uroho wa madaraka ndiyo sifa ya kwanza ya mwanasiasa....wanasiasa wanafanikiwa wote huwa waroho wa madaraka....
 
Duh..Kumbe Slaa Mroho hivi...

CUF ikiongoza Kambi ya upinzani Yeye pia anataka...
CHADEMA ikiongoza Kambi ya upinzani ..CUF hawaruhusiwi.....

Yani SLaa alishirikiana na WALIBERALI ..hii kali...
 
Huyu Mpembna naye kiswahili kinampa shida?

Utakuwaje mroho wa madaraka kama hujawahi kuwa na hayo madaraka?Maana tafsiri ya uroho ni kutaka zaidi.Sasa chadema wana madaraka gani zaidi ya kwamba ni chama kikuu cha upinzani?
 
Wewe usipotoshe umma sisi tunafuatilia siasa za Tanzania wakati cuf inaamzishwa katibu Mkuu alikuwa shaaban mloo Kisha akaja maalim seif mkutano Mkuu Ndio uliompitisha kwa kura tukijaaliwa kwenu chadema wakati Zito Kabwe anataka uenyekiti walitoka kina mtei moshi kumtaka atoe jina lake harafunajiita chama cha democrasia cuf huziiwi na wazee jaza fomu wanachama Ndio wanaoamua nani mkweli ktk wagombea Kama unatumika hupewi kile ni chama cha ukombozi huwezi kupewa Mtu magumash utuulie Zito alivyotaka aongoze kambi ya upinzani bungeni mboe amekataa hata hilo hamulisemi kwa vile bepari mwenzenu
Acha uzushi na uongo hapa.
Self Sharif Hamad ndio mwanasiasa mroho wa madaraka kuliko mwanasiasa yoyote hapa Tanzania kwa sasa, kwa sababu:

1/Alitaka urais wa Zanzibar toka akiwa CCM miaka ya 1970s(baada ya kumzunguka Abdul Jumbe kisanii), kisha toka uchaguzi wa vyama vingi umeanzishwa ni yeye tu amekuwa akigombea urais wa Zanzibar, ilikuwa 1995, 2000, 2005, 2010 na tayari ameshapitishwa kugombea urais na CUF 2015 huko Zanzibar. Hivi ni yeye tu ndani ya CUF mwenye sifa na nia ya kugombea urais wa Zanzibar?

2/Amekuwa katibu mkuu wa CUF zaidi ya miaka 20, hakuna mtu wa kumtoa na Hamad Rashid alipopanga kumtoa katika uchaguzi wa ndani wa CUF alifukuzwa kama mbwa na kuvuliwa mpaka uanachama. Hivi Self Sharif Hamad ni Nabii ndani ya CUF mpaka asipingwe?
 
  • Thanks
Reactions: mij
Great thinkers naona mmetoa mawazo yenu, dah et nyie ndiyo mnategemewa hv na hicho chama chenu kikishika nchi hamtaweza kukikosoa. Ndiyo sbb watz hawataki bora hawa kijani wanaokubali kukosolewa.
 
Mti mzuri wa mwembe wenye matunda ndio hupigwa mawe! Sasa ona Magamba hawawezi kuhutubia wananchi bila kusema cdm, vilevile waliberali hawawezi kuongea bila kuitaja cdm.....hivi tunajifunza nini hapo? Ni kwamba cdm ndicho chama sahihi kupendwa na wananchi
 
Wewe usipotoshe umma sisi tunafuatilia siasa za Tanzania wakati cuf inaamzishwa katibu Mkuu alikuwa shaaban mloo Kisha akaja maalim seif mkutano Mkuu Ndio uliompitisha kwa kura tukijaaliwa kwenu chadema wakati Zito Kabwe anataka uenyekiti walitoka kina mtei moshi kumtaka atoe jina lake harafunajiita chama cha democrasia cuf huziiwi na wazee jaza fomu wanachama Ndio wanaoamua nani mkweli ktk wagombea Kama unatumika hupewi kile ni chama cha ukombozi huwezi kupewa Mtu magumash utuulie Zito alivyotaka aongoze kambi ya upinzani bungeni mboe amekataa hata hilo hamulisemi kwa vile bepari mwenzenu

Where u at Mr Hamad Rashid...someone is tarnishing our image here...

Kuna mroho na mbinafsi zaidi ya mtu aliuza kura zake CCM for his own gains?


Na aliyethibitisha yote hayo ni almaarufu Zitto Kabwe...aliandika kuwa Maalim alishinda

Mzee wa sumu kajiweke sawa
 
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hammad amekirushia kombora Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kile alichodai kinapoteza mwelekeo kutokana na fujo nyingi zinazotokea wakati wa vikao vya Bunge. Alisema fujo hizo, ni wazi zinaonekana kusababishwa na uroho wa madaraka.

Maalim Seif alitoa kauli hiyo juzi jijini hapa, wakati wa kampeni za kumnadi mgombea nafasi ya udiwani wa Kata ya Eralai, John Bayo.

Alisema wakati CUF, ilipofanikiwa kuongoza Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni chini ya uongozi wa Hammad Rashid Mohamed, kulikuwa na busara za hali ya juu katika uendeshaji wa vikao vyao.

Alisema kutokana na umoja na uaminifu ambao CUF ilikuwa nao, ndiyo ilimteua Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilbroad Slaa kuwa Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni.

“Wakati CUF inaongoza Kambi ya Upinzani Bungeni, tulikuwa na umoja mno, tulishirikiana na vyama vyote vya upinzani na naibu wetu, alikuwa Dk. Slaa.

“Ila wao Chadema, walipopata wakaanza kusema wao ni wao, ndugu zangu ndio maana leo hii mnaona Bunge limekuwa la fujo utadhani soko, watu wanamwaga matusi kama cherehani, maadili ya Bunge yameachwa,” alisema Hammad.

Alisema CUF ni chama chenye dira na kinachoona mbali, kwa sababu kimeundwa kwa lengo la kutetea maslahi ya wananchi wote na dira yao.

Kwa upande wake, Bayo akiomba kura alijikuta akiangua kilio mbele ya wananchi waliokuwa wakimsikiliza.

Bayo, ni moja ya madiwani waliotimuliwa CHADEMA kwa madai ya kupokea rushwa na kukisaliti chama hicho.

“Sijagusa hata senti kwa ajili ya kuwasaliti watu wangu, najua kitendo hicho kinakiuka maadili na kuwasaliti nyinyi mlionichagua.

Kwa hisani ya Mtanzania.

in Tanzania, Seif is rated as number one kwa kupenda madaraka and the second runner kwa divinisionist politics after his excellency!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom