Zanzibar twende na Babu.Shikamoo babu Tunakuheshimu sana
Zanzibar twende na Babu.Shikamoo babu Tunakuheshimu sana
Anayesimamia Uhuru,haki na maendeleo ni mshindi,Haina hats kuuliza hiyo.Maalimu seif safari hii, anashindwa kwa tofauti kubwa kuwahi kutokea katika historia ya uchaguzi zanzibar. Kijana mchapakazi Hussein Ally Hassan Mwinyi ndiye chaguo la kizazi kipya