Mkuu Mr. London, asante kwa taarifa ya ziara hii, mchango wangu wa kwanza ni wa kuhusu lugha yetu adhimu, hiyo sio kidau, hiyo ni speed boat, yaani ni boti tena ya fiber, na sio dau, dau hutengezwa kwa mbao, halina injini bali huendeshwa kwa makasia, au hufungwa tanga.View attachment 472356
Ni baada ya kuzuiwa barabara kuu kuelekea kisiwa cha Makoongwe na kuamua kuvuka kwa baharini kwa kutumia mashua.
@juvicuftaifa
Akamatwe kwa kuhatarisha maisha yake! Anapanda mtumbwi bila kufaa life jacket!
Barabara kuu utaenda nayo kisiwani?au kuna daraja yakheeeView attachment 472356
Ni baada ya kuzuiwa barabara kuu kuelekea kisiwa cha Makoongwe na kuamua kuvuka kwa baharini kwa kutumia mashua.
@juvicuftaifa
Angeanza yule aliekwenda kukagua hostel za UDSM bila ya kuvaa safety gearAkamatwe kwa kuhatarisha maisha yake! Anapanda mtumbwi bila kufaa life jacket!
Mkuu Mr. London, asante kwa taarifa ya ziara hii, mchango wangu wa kwanza ni wa kuhusu lugha yetu adhimu, hiyo sio kidau, hiyo ni speed boat, yaani ni boti tena ya fiber, na sio dau, dau hutengezwa kwa mbao, halina injini bali huendeshwa kwa makasia, au hufungwa tanga.
Pili ni siasa za Zanzibar, ni muhimu ni huko aendako sasa angalau aanze kuwaanda wafuasi wake kwa ukweli halisi kuwa hakuna lolote au chochote kitakachofanyika kwenye urais wa Zanzibar short of 2020! .
Ukiujua ukweli,na kuukubali, the sooner the better, utaanza kujipanga kwa 2020 kuliko kutoa matumaini hewa na kuwaweka watu kwenye suspense ya great expectations kufumba na kufumbua 2020 hiyo bila maandalizi yoyote ya kuisindikiza tena CCM! . Vinginevyo it will be too little too late! .
Ukweli Mchungu Zanzibar: Hakuna Mgogoro Wowote wa Kisiasa, Shein ni Rais Halali, Uchaguzi ni 2020!
Paskali
Leo BOT imetangaza Zanzibar imepata misaada mara dufu! .Kweli hakuna uchaguzi hadi 2020 na znz na tz hakuna misaada hadi 2020 na hilo ndilo lengo la seif
Barabara kuu utaenda nayo kisiwani?au kuna daraja yakheee
Mkuu Mr. London, asante kwa taarifa ya ziara hii, mchango wangu wa kwanza ni wa kuhusu lugha yetu adhimu, hiyo sio kidau, hiyo ni speed boat, yaani ni boti tena ya fiber, na sio dau, dau hutengezwa kwa mbao, halina injini bali huendeshwa kwa makasia, au hufungwa tanga.
Pili ni siasa za Zanzibar, ni muhimu ni huko aendako sasa angalau aanze kuwaanda wafuasi wake kwa ukweli halisi kuwa hakuna lolote au chochote kitakachofanyika kwenye urais wa Zanzibar short of 2020! .
Ukiujua ukweli,na kuukubali, the sooner the better, utaanza kujipanga kwa 2020 kuliko kutoa matumaini hewa na kuwaweka watu kwenye suspense ya great expectations kufumba na kufumbua 2020 hiyo bila maandalizi yoyote ya kuisindikiza tena CCM! . Vinginevyo it will be too little too late! .
Ukweli Mchungu Zanzibar: Hakuna Mgogoro Wowote wa Kisiasa, Shein ni Rais Halali, Uchaguzi ni 2020!
Paskali
Kigamboni siyo kisiwa lakini... hiyo makoongwe ni kisiwakwani pale kigamboni ukiachilia pantoni na dalaja ambalo limejengwa karibuni hakuna njia nyengine ya juu kule makongowe?? usijitoe faam periad
2020 panapo majaaliwa ya Maanani, nitakukumbusha.Nyinyi ndo wale ambao huwa munajitoa fahamu mukajifanya kawaida lakini moyoni kuna hofu tele., ulicholishizwa inakuwa shida kuamini kitu kingine. unahamu ifike 2020 bila maalim kuwa rais wa zanzibar lakin elewa jambo hili halipangwi na binadamu hiyo ni theory yako wewe tu uliyonayo kichwani na hutamani kusikia kitu kingine.
Kigamboni siyo kisiwa lakini... hiyo makoongwe ni kisiwa
Inaonyesha Pemba huujui, una mihemko au umekusudia kudanya.. Makoongwe haijaunganishwa na barabara na siyo kama kigamboni kwani hicho kisiwa hakijaungana na landmass yeyote na kisiwa kikubwa cha Pemba ukitokea mkoani. kwa hivyo hakuna barabara ambayo umezusha ya kuwa Seif amezuiliwa.. kwa hivyo ujinga wako kapeleke sehemu nyengineKisiwa ni nini kwani??
Ni baada ya kuzuiwa barabara kuu kuelekea kisiwa cha Makoongwe na kuamua kuvuka kwa baharini kwa kutumia mashua.
@juvicuftaifa
View attachment 472356
Mr. London, Kigamboni sio KISIWA. Ni Mji wa Kigamboni inaelekea, kwa mujibu wa Pascal, Kiswahili kwako ni tatizo.kwani pale kigamboni ukiachilia pantoni na dalaja ambalo limejengwa karibuni hakuna njia nyengine ya juu kule makongowe?? usijitoe faam periad
Wangekamatwa wale wakata mikonge kutoka Tanganyika waliokivamia kisiwa cha Zanzibar kwa vidau na ngalawa kuja kufanya Mauaji 1964Akamatwe kwa kuhatarisha maisha yake! Anapanda mtumbwi bila kufaa life jacket!
Shule nyengine zinasomesha n a kuzalisha watanganyika hasa. Hivi hio misaada ulioitaja imeratibiwa kipindi gani? Baada ya kufutwa kwa Uchaguzi halali au baada uchafuzi wa marudio?Leo BOT imetangaza Zanzibar imepata misaada mara dufu! .
P.
Ukweli Mchungu Zanzibar: Hakuna Mgogoro Wowote wa Kisiasa, ila kuna " occupation Force" na Rais wake daima huwa ni Halali,Uchaguzi ni2020,2025,2030...... Mapinduzi Daima mbele!!!!Ukweli Mchungu Zanzibar: Hakuna Mgogoro Wowote wa Kisiasa, Shein ni Rais Halali, Uchaguzi ni 2020
Kama lugha za akina Kabila na akina Nkurunziza!Pili ni siasa za Zanzibar, ni muhimu ni huko aendako sasa angalau aanze kuwaanda wafuasi wake kwa ukweli halisi kuwa hakuna lolote au chochote kitakachofanyika kwenye urais wa Zanzibar short of 2020
Mr London, msamehe Paskali kwa kuwa Kiswahili ni lugha yake ya kuiga. Tatizo la kusoma lugha darasani na kutaka uonekani Bingwa, unakuwa kama Robot, hupindi na umekakamaa hapo hapo. Anaekijua Kiswahili hucheza na maneno kwa kuyaongeza ladha bila ya kuathiri maudhui Boti ni neno la kiingereza, Dau, Mtumbwi ni Kiswahili.Kinachofungwa Tanga ni Ngalawa, Jahazi, Mashua, merikebu nk.mchango wangu wa kwanza ni wa kuhusu lugha yetu adhimu, hiyo sio kidau, hiyo ni speed boat, yaani ni boti tena ya fiber, na sio dau, dau hutengezwa kwa mbao, halina injini bali huendeshwa kwa makasia, au hufungwa tanga