zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,039
- 28,689
kwani chadema iliweka mgombea urais zanzibar hivyo tunafurahi kuwa maalim akifukuzwa basi ndio urais tutapata???? embu kuwa serious!!! wanaofaidika ni ccm zaidi ssi chadema tutapata hasara maana kura za upinzani zitagawanyika ssa tushangilie afu tufaidike nni???Magdalena Sakaya nakuomba mama angu
Usithubutu kukanyaga Ardhi ya Zanzibar wachilia mbali Pemba!!watakugawana vipande vipande!!mpaka Polisi kuja watakukuta umeshaaga dunia!!
Tafadhali mamayangu nakuusia!!
Usitegemee kama Zanzibar unaweza kukubalika!!kuna hila tatu ambazo wazanzibar kamwe hawatokukubali nazo;
1:Mkristo
2:Mwanamke
3:Mtu wa Bara/Tanganyika
Naona Chadema wanafurahi sana kwa kinachendelea ndani ya CUF