Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,861
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Hamad ametangaza kugombea Urais Visiwani Zanzibar kupitia chama chake cha ACT-Wazalendo. Atachukua fomu ya kugombea urais Tarehe 4 mwezi Julai.
Amewaomba Wazanzibari kumkubali kama walivyofanya kwa chaguzi zilizopita kwa kuongeza idadi ya wanaompigia kura kila uchaguzi mpya tangu mwaka 1995.
Amesema walifanya tafiti kuona kama wazanzibar kama bado wanamkubali na tafiti hiyo ilionyesha kuwa bado anakubalika ndani ya Zanzibar
Amedai tafiti waliyofanya ilionyesha kuwa, kuna wazanzibari waliahidi kutopiga kura kama asipopewa turufu ya chama kugombea Urais Zanzibar
Amewaomba Wazanzibari kumkubali kama walivyofanya kwa chaguzi zilizopita kwa kuongeza idadi ya wanaompigia kura kila uchaguzi mpya tangu mwaka 1995.
Amesema walifanya tafiti kuona kama wazanzibar kama bado wanamkubali na tafiti hiyo ilionyesha kuwa bado anakubalika ndani ya Zanzibar
Amedai tafiti waliyofanya ilionyesha kuwa, kuna wazanzibari waliahidi kutopiga kura kama asipopewa turufu ya chama kugombea Urais Zanzibar