Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 816
- CUF haikubali kuitishwa kwa kura za maoni
- Apinga Pemba kujitenga
- Ufisadi, Balali vyamliza
http://tzuk.com/
http://www.haki-hakingowi.blogspot.com/
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Sharrif hawezi kuwa ni mtu wa Nyerere,najua ana tamaa kubwa ya madaraka kwa kiwango cha kutisha,matokeo yake ni kamwe hatokuwa rais wa zenji hata kwa damu kumwagika....tamaa yake ya urais ndio ilimfanya hata kushindwa kuwa na subira walau ya kumngoja idrisa abdul wakil astaafu japo mzee wa watu alisema atakaa kipindi kimoja tu.....tamaa yake ndio iliopelekea amuuze mzee wa watu abood jumbe ili yeye awe rais wa zenj na tamaa yake ndio leo inapelekea anadai serikali ya mseto kusudi apewe uwaziri kiongozi na tamaa iliopita kiwango leo hii ndio inapelekea atakw shirikisho ili akagombee pemba.....hakuna wazalendo nchi hii wakampiga risasi ya kichwa huyu sharrifu hamad nchi itulie
Sharrif hawezi kuwa ni mtu wa Nyerere,najua ana tamaa kubwa ya madaraka kwa kiwango cha kutisha,matokeo yake ni kamwe hatokuwa rais wa zenji hata kwa damu kumwagika....tamaa yake ya urais ndio ilimfanya hata kushindwa kuwa na subira walau ya kumngoja idrisa abdul wakil astaafu japo mzee wa watu alisema atakaa kipindi kimoja tu.....tamaa yake ndio iliopelekea amuuze mzee wa watu abood jumbe ili yeye awe rais wa zenj na tamaa yake ndio leo inapelekea anadai serikali ya mseto kusudi apewe uwaziri kiongozi na tamaa iliopita kiwango leo hii ndio inapelekea atakw shirikisho ili akagombee pemba.....hakuna wazalendo nchi hii wakampiga risasi ya kichwa huyu sharrifu hamad nchi itulie
Seif ni Mtu mroho wa madaraka anayezinga madaraka kwa nguvu zote. Lakini kadri anavyoendelea ndivyo anavyoifanya ndoto hiyo kuwa ngumu kwake. Kwani Wa-Unguja ambao ndio wengi huko (Mikoa ya Kusini na Kaskazini na asilimia 70 ya wapiga kura ya majimbo ya Mkoa Mjini Magharibi)
ndivyo wanavyozidi kumkataa. Kamwe hawezi kuwa Rais wa Zanzibar, na hiyo nafasi aliyokuwa akiivizia kama kifuta jasho kwa sasa haipati tena, kwani mseto hautokubaliwa.
bwan sabry baachan....vipi umeme umeshawashwa??
Wa Kikwajuni-Juu hatushughuliki Babu. Kwani wazee wetu si waliishi kwa kandili tu. Kha!!!Usinchekshe.