Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Je halali kwa kiongozi ambaye hatukumchagua kwa kura zetu, wala hana mamlaka yeyote ya kutuongoza kikatiba, kuja kufungua na kukagua miradi ya serikali huku Tz bara? Kwa mujibu wa chanel ten leo, seif ameonekana akifungua madarasa, kukagua mirad na kuhutubia wananchi!