Mliona wapi wapiga kura 300,000 wapige kura kwa siku mbili na wapiga kura 28m wapige kura kwa siku moja wakiwemo hao 300,000. Hilo haliwezekani simamia hapo hapo KUCHI LAZIMA MWAKA HUU KIELEWEKE.Tume ya Uchaguzi Visiwani Zanzibar imemtaka Mngombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha @ACTwazalendo maalim @SeifSharifHamad kufika kwenye kamati ya Maadili Majira ya saa 7 mchana kujieleza juu ya malalamiko yaliyotolewa na chama cha Demokrasi makini kuhusiana na Kauli Aliyoitoa siku za hivi karibuni ya kuwaambia watu wakapige kura Oktoba 27 mwaka huu badala ya Octoba 28 siku iliopangwa na ZEC.
"Narudia SOTE TUKAPIGE KURA OKTOBA 27"- amesisitiza tena Maalim Seif baada ya wito huo.
Nileteeeni GwajimaaaaaaTume ya Uchaguzi Visiwani Zanzibar imemtaka Mngombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha @ACTwazalendo maalim @SeifSharifHamad kufika kwenye kamati ya Maadili Majira ya saa 7 mchana kujieleza juu ya malalamiko yaliyotolewa na chama cha Demokrasi makini kuhusiana na Kauli Aliyoitoa siku za hivi karibuni ya kuwaambia watu wakapige kura Oktoba 27 mwaka huu badala ya Octoba 28 siku iliopangwa na ZEC.
"Narudia SOTE TUKAPIGE KURA OKTOBA 27"- amesisitiza tena Maalim Seif baada ya wito huo.
Hicho kitume nacho ki zec kipunguze ratiba zenye utata...Maalim Seif na yeye apunguze matamshi yenye utata...
Nileteeeni GwajimaaaaaaMwenye Zanzibar yake kashasema kura ni 27/10/2020 hao vibaraka wa jiwe wanamamlaka gani na Zanzibar?
Anatiketi ya Oman pengine. Wengine twende wapi? TwafwaaaaTume ya Uchaguzi Visiwani Zanzibar imemtaka Mngombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha @ACTwazalendo maalim @SeifSharifHamad kufika kwenye kamati ya Maadili Majira ya saa 7 mchana kujieleza juu ya malalamiko yaliyotolewa na chama cha Demokrasi makini kuhusiana na Kauli Aliyoitoa siku za hivi karibuni ya kuwaambia watu wakapige kura Oktoba 27 mwaka huu badala ya Octoba 28 siku iliopangwa na ZEC.
"Narudia SOTE TUKAPIGE KURA OKTOBA 27"- amesisitiza tena Maalim Seif baada ya wito huo.
Ndio mukaamua kuwaengua wagombea ili asuse lkn marahii hasusi mtu 27 nasisi tutakwenda na 28 tutaenda mwambieni siro azidi kuongeza vikosi vya mapolisMaalim hakawii kususa
Kuishi kwingi kuona mengi.Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hamnionei hata huruma sauti hadi inakauka
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora kufa ukitetea haki yakoAnatiketi ya Oman pengine. Wengine twende wapi? Twafwaaaa
Hayo Mambo aliyataka Maalim Seif mwenyewe pale alipokataa kushiriki uchaguzi wa marejeo akawaachia CCM peke yao watawale Baraza la wawakilishi, Sasa wakapitisha Sheria ya uchaguzi wa mapema. Kufuta hii Sheria Hadi muswada upelekwe Tena kwenye Baraza la wawakilishi.Kwa mini wanapiga siku mbili wakuu.?
Ni Sheria yao walipitisha wenyewe.Kwa mini wanapiga siku mbili wakuu.?
Million 2 watoke wapi? hawafiki hata laki 4Ni njama za wazi ,Tanzania bara yenye wapiga kura mil 29 wanapiga kura siku 1 halafu Zanzibar isiyo na zaidi ya wapiga kura mil 2 wanapiga kura siku 2
Fika na mwanasheria wako mkuuHapa Maalim awapige chini.
Asimame na msimamo wake. Kura ni siku moja. Hakuna kukubali kusimama kampeni hata kama ni kwa amri ya jiwe:
View attachment 1600739
Namna ya kuiba kura elf 7Ni Sheria yao walipitisha wenyewe.
Zanzibar wapiga kura hawafiki mil 2Mkuu vipi? Uliona wapi watu milioni 2 wakapige kura siku mbili ilihali milioni 29 wanapiga siku moja? Tume ndio iache utata na utoto kwanza.