Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gazeti la uhuru halijawahi sema uongo kamwe.
Kumbuka lile gazeti wana usala..ma wanapeleka taarifa za kisiasa pale Lumumba.
Hata ya Lipumba na Slaa kujiuzulu walizitoa wao
Hilo Gazeti habari zake zote ni UONGOGazeti la uhuru halijawahi sema uongo kamwe.
Kumbuka lile gazeti wana usala..ma wanapeleka taarifa za kisiasa pale Lumumba.
Hata ya Lipumba na Slaa kujiuzulu walizitoa wao
Gazeti la kufungia maandaziGazeti gani?
hahaha!!Gazeti gani?
...
Chanzo: Gazeti la UHURU.
MY NOTE.Nitakuwa wa mwisho kuamini habari hii.
Wewe ni mmoja kati ya wale wanaiamini magazeti ya udaku na umbea km Mwanahalisi, au!Unaziamini taarifa za gazeti la Uhuru kuhusu upinzani?
...
ndoto haziruhusiwi nchi hii unaweza kufunguliwa mashtaka na kunyimwa dhamana!Unajua leo nimeota Maalim Seif anakuwa waziri mkuu wa Zanzibar, Nikajiuliza Zanzibar katiba yao wameibadili lini kuweka cheo cha waziri mkuu?
===
Kutoka kwa hii Habari kumenistua!
Elli acha kukumbusha watu machungu. Walipwe na nani? Sasa hivi hizo familia zao ni majanga tuu, ukiondoka hujaacha kitu na jioni unarudi na fungu la dagaa lakini unakuta mke kaandaa kuku na biriani mwororo hakuna kuuliza vimetoka wapi we jipigie tuu maana mama yeyoo kajiongeza ha ha ha! Hapo ndio walipofikia.Hivi wale jamaa waliouza Mitambo ya Uhuru ili wajilipe mishahara bado Wapo? Na Je wafanyakazi wa Uhuru wamelipwa mishahara ya mwezi huu????
Seif na CUF, Lowassa na CCM ni pair mbili tofauti kabisa.Km lowassa aliweza iacha ccm kwann seif?
Unajua leo nimeota Maalim Seif anakuwa waziri mkuu wa Zanzibar, Nikajiuliza Zanzibar katiba yao wameibadili lini kuweka cheo cha waziri mkuu?
===
Kutoka kwa hii Habari kumenistua!
nNani aliyeamini Lowassa angeondoka CCM...alisema angekuwa wamwisho kuondoka,matokeo yake alikuwa wakwanza kuondoka.Unaziamini taarifa za gazeti la Uhuru kuhusu upinzani?
Usitegemee Maalim Seif kuiacha CUF hata siku moja.
Dah mimi wiwezi nitaua mtu aiseeee Wafanyakazi wa Uhuru hawana Uhuru.....Elli acha kukumbusha watu machungu. Walipwe na nani? Sasa hivi hizo familia zao ni majanga tuu, ukiondoka hujaacha kitu na jioni unarudi na fungu la dagaa lakini unakuta mke kaandaa kuku na biriani mwororo hakuna kuuliza vimetoka wapi we jipigie tuu maana mama yeyoo kajiongeza ha ha ha! Hapo ndio walipofikia.
Kama mzee aliahidi atatenda na hajatenda nani mwingine ataweza kutenda?
Sasa mkuu hao watumishi wa Uhuru wataua wangapi wakati zoezi la kukosa mishahara ni endelevu? (Wenyewe Lumumba wanaita mtambuka)Dah mimi wiwezi nitaua mtu aiseeee Wafanyakazi wa Uhuru hawana Uhuru.....