beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mgombea wa Urais visiwani humo kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amefika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kwa ajili ya kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea
Maalim amesindikizwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Zanzibar Juma Duni Haji, Naibu Katibu Mkuu Mazrui Nassor na viongozi wengine
Maalim amesindikizwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Zanzibar Juma Duni Haji, Naibu Katibu Mkuu Mazrui Nassor na viongozi wengine