you have said it correctly ukiingia mombasa raha unapata kila kitu. istoshe jamani kama kukatika mbona watu tulijifunza toka tuko primary?? ama ngona hawa hawakucheza??
hii ya kufundwa kukatika tuuuuuuuuuuuuu ndani ni uongo mtupu. mie sikufich kuna mahali huwa naedaga kwenye mafunzo ya akina mama huwa tunakwenda ndani kwa mtu tena anaish nje ya dar. huko hukutana na wamama wengi wajasiriamali, tukapeana mbinu za kibiashara na networking tukimaliza huwa tunajadili changa moto tunazokumbana nazo wanawake kama wake/wamama na walezi na kupeana namna ya kuzishinda.
unajikuta kila ukienda umerudi na akili mpya ya maisha yani hata kama kuna mahali likosea unaamua kurekebisha. huwez kuamini toka nianze kwenda kwenye hii ishu ni mwez wa tano sasa nimejikuta najiona ninawajibu mkubwa zaid kuliko niliokuwa nao, najikuta nimeacha hata utoto na kuwa more serious najikuta hata nikisema nauza vitunguu nje ya nyumba ninauhakika wa kukiuza tena kwa faida............ that the thing ladies shld be doing lkn kujiweka kwenye makundi ya kitchen party galla kutwa mnajifunza kukata viuno mtalost. so far siku hzi wanaume hawataki mavibration wana mambo mapya kabaisa wanayotaka.
tusidanganyane hapa1
yote uliyosema ni sahihi kabisa sijui ujasiriamali sijui nini, na hayo ya kukata mauno pia ni sahihi kabisa pia.
hebu tujuze wanaume wanataka nini kipya?
nachojua piga ua, wote wanapenda CHINI.