Maajabu ya watu wa MORO Mji kasoro bahari, mchana wastaarabu, usiku sasa loh....

Jumakidogo

R I P
Jul 16, 2009
1,851
417
Heri ya X MASS wakazi wa Mji mzuri Morogoro, mji msafi unaovutia na kupendeza katika maeneo mengi. Tatizo kuna baadhi ya watu wanaochafua sifa ya mji huo. Nyakati za mchana ni wastaarabu wa hali ya juu. Lakini usiku wanaubadili mji na kuwa wa watu wasioaminika hata kidogo. Wezi, vibaka, na wadokozi hawalali, usiku kucha wanapita hapa na pale kwa ajili ya mawindo. Makahaba nao wanafanya kazi yao ipasavyo. Kuanzia Kahumba katikati ya mji mpaka Makuti stendi kubwa ya mabasi. Jinsi tulivyochapwa kamera zetu za kupigia picha katika gest moja pale Msamvu. Ni kama kiini macho hivi, Amakweli Morogoro mji kasoro bahari.
 
Heri ya X MASS wakazi wa Mji mzuri Morogoro, mji msafi unaovutia na kupendeza katika maeneo mengi. Tatizo kuna baadhi ya watu wanaochafua sifa ya mji huo. Nyakati za mchana ni wastaarabu wa hali ya juu. Lakini usiku wanaubadili mji na kuwa wa watu wasioaminika hata kidogo. Wezi, vibaka, na wadokozi hawalali, usiku kucha wanapita hapa na pale kwa ajili ya mawindo. Makahaba nao wanafanya kazi yao ipasavyo. Kuanzia Kahumba katikati ya mji mpaka Makuti stendi kubwa ya mabasi. Jinsi tulivyochapwa kamera zetu za kupigia picha katika gest moja pale Msamvu. Ni kama kiini macho hivi, Amakweli Morogoro mji kasoro bahari.

Huo ndo mfano wa ngoswe " Penzi kitovu cha uzembe". Ninyi mnaenda kufanya kazi, mnaanza kuchukua makahaba, mnachotarajia ni nini kama si kuibiwa kamera zenu!!?. Hilo ni fundisho, siku nyingine mkiacha wake zenu nyumbani muwe waaminifu, na muziheshimu kazi zenu!!. Heko makahaba wa Moro!!
 
Heri ya X MASS wakazi wa Mji mzuri Morogoro, mji msafi unaovutia na kupendeza katika maeneo mengi. Tatizo kuna baadhi ya watu wanaochafua sifa ya mji huo. Nyakati za mchana ni wastaarabu wa hali ya juu. Lakini usiku wanaubadili mji na kuwa wa watu wasioaminika hata kidogo. Wezi, vibaka, na wadokozi hawalali, usiku kucha wanapita hapa na pale kwa ajili ya mawindo. Makahaba nao wanafanya kazi yao ipasavyo. Kuanzia Kahumba katikati ya mji mpaka Makuti stendi kubwa ya mabasi. Jinsi tulivyochapwa kamera zetu za kupigia picha katika gest moja pale Msamvu. Ni kama kiini macho hivi, Amakweli Morogoro mji kasoro bahari.
Huo ndio ujasiriamali wa watu ambao hawajaelekezwa jinsi ya kuishi na hivyo wanaishi kama kuku wa kienyeji, matokeo yake badala ya wageni kuwa marafiki kwao wanakuwa kama maadui.
Tatizo hapa ni uchumi na ukosefu wa mpango wa madhubuti wa jinsi ya kugawana kwa usawa Keki ya taifa. Kumbuka hakuna anaye penda shida ya kulala usiku kucha halali kisa ana search.
Take care yourself.
 
Huo ndo mfano wa ngoswe " Penzi kitovu cha uzembe". Ninyi mnaenda kufanya kazi, mnaanza kuchukua makahaba, mnachotarajia ni nini kama si kuibiwa kamera zenu!!?. Hilo ni fundisho, siku nyingine mkiacha wake zenu nyumbani muwe waaminifu, na muziheshimu kazi zenu!!. Heko makahaba wa Moro!!

Heei, we umejuaje kama makahaba ndo walioiba? Au u mmoja wao!
 
hao vibaka,makahaba,wadokozi na majambazi sio wakazi wa moro ni wakazi wa dar au dodoma wanakuja kufanya uhalifu mida ya usiku.
 
Mwenzenu mimi natoka morogoro,Natoka kwenye mji kasoro bahari.Najua nitarudi hata nikienda mbali.Kwa vile moro ndugu wananisubiri.,DAH nilikuwa moro kipindi fulani.ukienda kahumc kama hamna watu.IKIFIKA SA 1.30 MPAKA ASUBUH FULL FUJO.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom