Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 806
- 1,337
Musa alionja mautiMusa hakuonja mauti you mean hakufa...??!
Musa alionja mautiMusa hakuonja mauti you mean hakufa...??!
Mimi nilishafanya hivyo Mara tatu.Biblia. Natamani niisome Mwanzo hadi sura ya mwisho ya Ufunuo wa Yohana
Lete manenoKuna siku Elisha aliwahi kuzungukwa na maadui wa mfalme mwingine ambaye alikuwa hasimu wake na mfalme wa Israel. Mfalme huyo alimvamia Elisha ili amuue, baada ya kuwa adui huyo kuwa anapanga mbinu za kwenda kumvamia mfalme wa Isrel, halafu kabla hawajafanya hivyo mfalme wa Israeli akawa anapata taarifa za maadui hao hata kabla hawajaenda kumvamia, na kazi hiyo ya kumjulisha taarifa hizo mfalme wa Isrel baadaye kuja kubainika kuwa ilikuwa inafanywa na nabii Elisha. Kwa hiyo kilichotokea baada ya hapo ni hawa madui kumfuata Elisha ili wakammalize kwanza yeye, halafu baada ya hapo ndiyo wakamvamie mfalme wa Israel. Walipowasili kwenye makazi ya Elisha, Elisha akawatia upofu wote halafu akaanza kuwaongoza njia kwenda kwenye himaya ya mfalme wa Israel. Walipofika huko akawafungua macho na kujikuta wako mateka tayari kwa mfalme wa Israel. Alichofanya mfalme baada ya hapo ni kuwapa chakula na maji, wakala wakanywa halafu baadaye akwaachia huru, hakuwaua.
Cha muhimu unachotakiwa kujua kuhusu Elisha ni kwamba wakati wanaachana na Eliya, wakati alipochukuliwa na gari la moto kwenda mbinguni, Elisha aliachiwa roho ya Eliya kwa kiwango cha mara mbili, yaani Eliya alimwachia Elisha roho yenye uwezo mara mbili ya ile aliyokuwa nayo yeye Eliya, na kutokana na hilo, Elisha alifanya miujiza mingi mara mbili zaidi ya miujiza aliyowahi kuifanya Eliya, ila nguvu ya kufanya miujiza hiyo aliipta kutoka kwenye roho ya Eliya!
Hakuwa kipofu,,alukuwa ni kipara,siku moja akipita sehemu watoto wanacheza wakaanza kumzomea,"huyo kipara,huyo mzee kipara"Elisha si alikuwa kipofu?
Swali la nyongeza; ikiwa Elisha aliachiwa baadhi ya nguvu au roho ya Eliya hii inamaanisha roho ya eliya haikuenda mbinguni? au iligawanyika nakuendelea kuishi kote duniani na mbinguni?Kuna siku Elisha aliwahi kuzungukwa na maadui wa mfalme mwingine ambaye alikuwa hasimu wake na mfalme wa Israel. Mfalme huyo alimvamia Elisha ili amuue, baada ya kuwa adui huyo kuwa anapanga mbinu za kwenda kumvamia mfalme wa Isrel, halafu kabla hawajafanya hivyo mfalme wa Israeli akawa anapata taarifa za maadui hao hata kabla hawajaenda kumvamia, na kazi hiyo ya kumjulisha taarifa hizo mfalme wa Isrel baadaye kuja kubainika kuwa ilikuwa inafanywa na nabii Elisha. Kwa hiyo kilichotokea baada ya hapo ni hawa madui kumfuata Elisha ili wakammalize kwanza yeye, halafu baada ya hapo ndiyo wakamvamie mfalme wa Israel. Walipowasili kwenye makazi ya Elisha, Elisha akawatia upofu wote halafu akaanza kuwaongoza njia kwenda kwenye himaya ya mfalme wa Israel. Walipofika huko akawafungua macho na kujikuta wako mateka tayari kwa mfalme wa Israel. Alichofanya mfalme baada ya hapo ni kuwapa chakula na maji, wakala wakanywa halafu baadaye akwaachia huru, hakuwaua.
Cha muhimu unachotakiwa kujua kuhusu Elisha ni kwamba wakati wanaachana na Eliya, wakati alipochukuliwa na gari la moto kwenda mbinguni, Elisha aliachiwa roho ya Eliya kwa kiwango cha mara mbili, yaani Eliya alimwachia Elisha roho yenye uwezo mara mbili ya ile aliyokuwa nayo yeye Eliya, na kutokana na hilo, Elisha alifanya miujiza mingi mara mbili zaidi ya miujiza aliyowahi kuifanya Eliya, ila nguvu ya kufanya miujiza hiyo aliipta kutoka kwenye roho ya Eliya!
Timotheo ngapi ili tupate rejea? pia naomba uelezee kidogo japo brief tupate concept ya uhusiano uliopo kati ya hizo practise ulizozitaja na ushetani.COSMOLOGY ina sound sanaa ndugu zanguu!! Universal laws zinasound sanaa matrix ndo usiseme. su Haya ndo mafundisho ya kisetani kama ilivyo andikwa kwa timoteo.
Roho sio nafsi. Usijichanganye.Swali la nyongeza; ikiwa Elisha aliachiwa baadhi ya nguvu au roho ya Eliya hii inamaanisha roho ya eliya haikuenda mbinguni? au iligawanyika nakuendelea kuishi kote duniani na mbinguni?
Je, kama ndivyo kuwa roho hii iliendelea kuishi kotekote basi eliya alijipa sifa sawa na ile ya Mungu kuwepo pote kwa muda mmoja? Je, hii inaruhusiwa kwa mwanadamu kuvaa uhusika au nguvu anazopaswa kuwa nazo muumba tu nakuwapa thawabu au kipawa wanadamu wenzake?
Mwanao akirithi tabia zako, wewe unabaki huna tabia? Mwanao akifanana na wewe kwa sura, wewe unabaki huna sura, au unakuwa unaishi in multiple places? Roho ya binadamu siyo maembe kwamba ukimpatia mwenzako embe moja kama ulikuwa nayo mawili basi unabaki na embe moja, hapana. Kwenye ulimwengu wa roho vitu havigawanyiki kama ilivyo kwenye ulimwengu wa mwili isipokuwa division or minus, means multiplication or addition. Inaonekana huna tabia ya kusoma Maandiko Matakatifu. Nakutia moyo uwe unayasoma mara kwa mara, na baada ya hapo, uwe unapata muda wa kuyatafakariSwali la nyongeza; ikiwa Elisha aliachiwa baadhi ya nguvu au roho ya Eliya hii inamaanisha roho ya eliya haikuenda mbinguni? au iligawanyika nakuendelea kuishi kote duniani na mbinguni?
Je, kama ndivyo kuwa roho hii iliendelea kuishi kotekote basi eliya alijipa sifa sawa na ile ya Mungu kuwepo pote kwa muda mmoja? Je, hii inaruhusiwa kwa mwanadamu kuvaa uhusika au nguvu anazopaswa kuwa nazo muumba tu nakuwapa thawabu au kipawa wanadamu wenzake?
Duu. Mengi sana sziwe eleza hapa.Timotheo ngapi ili tupate rejea? pia naomba uelezee kidogo japo brief tupate concept ya uhusiano uliopo kati ya hizo practise ulizozitaja na ushetani.
Biblia inakataa na wala haijawahi kusema juu ya uwepo wa roho kwenda mbinguni au popote pale au maisha mengine yakiroho au nafsi baada ya kufa, mtu aliyekufa atambui chochote ukaa kaburini akisubiri siku ile ya ufufuo, hili unalizungumziaje?Roho sio nafsi. Usijichanganye.
Kila mwanadamu ana roho, aliyopewa na Mungu. Ndio connection tunayoitumia kwenye mengi, na nguvu yake (katika ibada au maombi) inatuunganisha na Mungu. Hii ndio inayobeba hazina na talanta zote ulizonazo, naturally, automatic. Inahitaji iungane na nafsi yako tuu ili ufanye maajabu unayotakiwa kuyafanya duniani. So, unapokufa, mwili unajitenga na nafsi na roho inaenda mbinguni.
Sasa nafsi ndio inayoenda kuzimu, na baadae mahala pa kupumzikia. Ikisubiri hukumu.
Kwa mfano wa eliya, inaonesha wazi kuwa Elisha amepata roho ya eliya yenye nguvu mara mbili (huku Elia akipaa mbinguni na Mwili na nafsi na roho kama kawaida.
Hii inamaanisha, roho inaweza kuji-duplicate mara nyingi iwezekanavyo endapo ukipata elimu sahihi. Mf. Unapotunga mimba, Reproduction inafanya kazi kwa mfumo maalum wa roho yako kujiduplicate pamoja na ya mwenza wako, na kupata mtoto mwenye roho mbili Ilizoungana, ya kwako na mwenzako.
So, it's possible kwa Nabii Eliya kupata huo uweza aliotunukiwa na Mungu na kumbariki Elisha kwa muda ule.
Ulipoandika ahende ninawi ndo nikaacha kusoma. AHENDE?????Naomba kuzungumzia mfanano wa visa vya biblia takatifu na jinsi ambayo havipishani katika kusudio la ujumbe na maana licha ya stori na wahusika kuwa tofauti ila kinachowasilishwa huwa ni kile kile, hivyo nitaandika summary tu ukitaka kuchimba zaidi utaenda kujisomea kulinganisha nakuja na majibu au mtizamo wako:-
Kisa cha anguko la adamu na hawa katika bustani ya edeni+ kisa cha samsoni na delila,sulemani na wanawake wa mataifa, n.k
(Ufanano = kushawishika,kutenda dhambi,kuanguka/mauti)
Kisa cha kaini kumuua nduguye abel kisa wivu+kisa cha daudi kumuonea wivu uria nakumuua kisha kumuoa bethisheba+kisa cha lameck na wake zake(kuua mtu)+kisa cha tamari na wivu wa kaka zake kulipiza kisasi+nakadhalika.
(Ufanano= laana,hatia,majuto)
Kisa cha yona kuagizwa ahende Ninawi nakuukomboa mji ule+ kisa cha kuja kwa yesu kuukomboa ulimwengu+ kisa cha yohana mbatizaji+kisa cha stephano+kisa cha wanafunzi wa yesu. (Ufanano=ukombozi,kukataliwa,kufa kwa hatia ya wengine,kukamilisha mission,kujua yatakayo tokea,kuurithi ufalme wa mbinguni)
Kisa cha nabii eliya +kisa cha musa katika mission yao
(Ufanano=hawakuonja mauti,walithibitisha uwezo wa nguvu ya Mungu,walizaliwa na wanadamu kama sisi,walihisi hawawezi kuyakabili majukumu makubwa wanayopewa,waliwasiliana na mungu wao,waliishi maisha matakatifu na utii wa sheria za mungu,walilishwa,kuhifadhiwa na mungu,walitenda miujiza n.k)
Kisa cha ibrahimu kuama nakwenda kuanzisha taifa jipya+kisa cha Noah na gharika kuu+yoseph na nduguze+kisa cha lutu na wanawe.
(Yaliyomo=kuokoa kizazi nakukiendeleza,kutoswa na watu au kutoaminika mwanzo,kuwa na imani thabiti,n.k)
Kisa cha Paulo kuua waliomwabudu mungu nabaadae kutokewa na yesu nakuokoka+ kisa cha nebukadneza kumrudia mungu nakusamehewa+kisa cha yona na watu wa Ninawi+kisa cha mwanamke kahaba kusamehewa dhambi na yesu,n.k
(Ufanano=kutenda maasi au kuanguka dhambini kiasi chakutoweza kusameheka,kujikosoa nakutubu,kusamehewa dhambi zao,kuwa kielelezo chema cha kusambaza habari njema za Mungu n.k)
Siwezi maliza ufanano huu wa visa hivi ndani ya simulizi hizi na jumbe zake pia, ambazo lengo lake kuu ni moja na stori kuu ni moja pia ikisimuliwa kwa mifano tofauti tofauti, hivyo nipe mtizamo wako wewe wakifiria nini juu ya hili.
Elijah na Enoch ni hawa tu ndio waliopaa mbinguni moja kwa mojaKumbukumbu la Torati 34,
5 Basi Musa, mtumishi wa Bwana, akafa huko, katika nchi ya Moabu, kwa neno la Bwana.
6 Akamzika bondeni, katika nchi ya Moabu, kukabili Beth-peori; lakini hapana mtu ajuaye kaburi lake hata leo”.
Musa alikufa akafufuka (Yuda 1:9); na hata hivyo Musa hakuzikwa na mtu ye yote, Eliya alipaa, Yesu alifufuka kwanza ndipo akapaa. Hakuna mtu aliyekufa akazikwa harafu akaenda mbinguni bila kufufuka kwanza.
Kwani ni hawaruhusiwi au wao wenyewe ndio waliamua kuwa watawa?Mimi nina swali na naomba majibu yake, hivi kwanini mapadri wa Roman Catholic hawarusiwi kuoa
Nje ya mada
Sent using Jamii Forums mobile app
Yuda 1:9 Hata mikaeli, malaika mkuu hakufanya hivyo. Katika ule ubishi kati yake na ibilisi juu ya mwili wa musa, mikaeli hakuthubutu kumhukumu ibilisi kwa matusi, ila alisema; Bwana mwenyewe na akukaripie"Kumbukumbu la Torati 34,
5 Basi Musa, mtumishi wa Bwana, akafa huko, katika nchi ya Moabu, kwa neno la Bwana.
6 Akamzika bondeni, katika nchi ya Moabu, kukabili Beth-peori; lakini hapana mtu ajuaye kaburi lake hata leo”.
Musa alikufa akafufuka (Yuda 1:9); na hata hivyo Musa hakuzikwa na mtu ye yote, Eliya alipaa, Yesu alifufuka kwanza ndipo akapaa. Hakuna mtu aliyekufa akazikwa harafu akaenda mbinguni bila kufufuka kwanza.
uyo atakuwa alikuwa shetani watoto kumtania tu atume fisi kuwaua.nipe iyo aya.Hakuwa kipofu,,alukuwa ni kipara,siku moja akipita sehemu watoto wanacheza wakaanza kumzomea,"huyo kipara,huyo mzee kipara"
Mungu wa israel kusikua hivyo,nabii wake anazomewa,ghadhabu ikampanda,,wakatumwa fisi watatu,wakawararua raruwa wale watoto,,na huo ukawa ndo mwisho wao..
Duh..!!,ina maana hujawahi kuisikia hiyo..haya subiri nikupe ya kimombo,watakutafsiria..uyo atakuwa alikuwa shetani watoto kumtania tu atume fisi kuwaua.nipe iyo aya.
Mungu anararura vijitoto innocent ,kweli Mungu ana upendo mkuuHakuwa kipofu,,alukuwa ni kipara,siku moja akipita sehemu watoto wanacheza wakaanza kumzomea,"huyo kipara,huyo mzee kipara"
Mungu wa israel kusikua hivyo,nabii wake anazomewa,ghadhabu ikampanda,,wakatumwa fisi watatu,wakawararua raruwa wale watoto,,na huo ukawa ndo mwisho wao..
(2 Wafalme 2:23-24) 23 Akakwea kutoka huko mpaka Betheli naye alipokuwa akienda njiani, wakatoka vijana katika mji, wakamfanyizia mzaha, wakamwambia, paa wewe mwenye upaa! paa wewe mwenye upaa!Why did Elisha kill the children?
Names & Places
In 2 Kings 2, Elisha is confronted by a group of children mocking him, so he killed them. His response seems so excessive. Why didn't he forgive or just ignore them?
2wafalme 2:23-25