Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Yaani Tangu Mtu Huyu Ahamie Chadema Kumekuwa Na Kundi La Watu Linamwabudu Kama mungu.
Zungumza Baya Lolote Mbele Ya Gwajima Au Muumini Wake Utaona Kitakachokukuta
Zungumza Lolote Baya Mbele Ya Kakobe Na Waumini Wake Utajionea
Zungumza Lolote Baya La Lowassa Mbele Ya Askofu Shoo Na Wana KKKT Utaona
Zungumza Lolote Baya Mbele Ya Mbowe Na Chadema ,kisipokukuta Kilichompapata Chacha Wangwe Anza Ibada
Kwa Dunia Ilipofikia Hata Kama Mbowe Au Lowassa Amma Kakobe, Mzee Wa Upako Au Gwajima Wataamua Kuua Mtu Hadharani - Wanapaswa Kuachwa Na Vyombo Vya Dola Kwasababu Wametengeneza Kundi La Wafuasi Loyal Wanaowatetea Kwa Lolote, Na Ukiwakamata Itaonekana Ni Kwa Sababu Za Kisiasa.
Kuna Watu Hawajitumikii Wala Kujimiliki Wao Wenyewe, Bali Humilikiwa Na Watu Fulani Wenye Uwezo Wa Kukuamrisha Kufanya Lolote Ukafanya - Kushinda Mahakamani Kutwa Nzima,kuandamana,kudeki Lami Au Hata Kufa - Ukifa Wanakutumia Kama Agenda Na Picha Yako Inakuwa Mtaji Wao Kisiasa Wa Kuombea Misaada Kwa Wazungu.
Zungumza Baya Lolote Mbele Ya Gwajima Au Muumini Wake Utaona Kitakachokukuta
Zungumza Lolote Baya Mbele Ya Kakobe Na Waumini Wake Utajionea
Zungumza Lolote Baya La Lowassa Mbele Ya Askofu Shoo Na Wana KKKT Utaona
Zungumza Lolote Baya Mbele Ya Mbowe Na Chadema ,kisipokukuta Kilichompapata Chacha Wangwe Anza Ibada
Kwa Dunia Ilipofikia Hata Kama Mbowe Au Lowassa Amma Kakobe, Mzee Wa Upako Au Gwajima Wataamua Kuua Mtu Hadharani - Wanapaswa Kuachwa Na Vyombo Vya Dola Kwasababu Wametengeneza Kundi La Wafuasi Loyal Wanaowatetea Kwa Lolote, Na Ukiwakamata Itaonekana Ni Kwa Sababu Za Kisiasa.
Kuna Watu Hawajitumikii Wala Kujimiliki Wao Wenyewe, Bali Humilikiwa Na Watu Fulani Wenye Uwezo Wa Kukuamrisha Kufanya Lolote Ukafanya - Kushinda Mahakamani Kutwa Nzima,kuandamana,kudeki Lami Au Hata Kufa - Ukifa Wanakutumia Kama Agenda Na Picha Yako Inakuwa Mtaji Wao Kisiasa Wa Kuombea Misaada Kwa Wazungu.