Tumia browserSimu yangu haifungui video attachment kama hizi, mwanzo ilikuwa inafungua bila shida. Mwenye ujuzi wa kusolve hii shida naombeni msaada.
Mkaa kivipi?My God! Injini ingewashwa wangeona mkaa mwingi ukitoka upande wa pili na wasingejua kwanini kumbe ndio mtu anachomeka hivyo. Dah