Maajabu; Hakimu mfawidhi amnyima dhamana kada wa CHADEMA na alipopata dhamana ya mahakama kuu, hakimu aagizwa akamatwe mpaka apate nakala

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Mwenyekiti wa BAVICHA mkoa wa Songwe, Ayubu Sikagonamo alikamatwa na Polisi kwa tuhuma za uchochezi (kutumia mitandao kuikashifu serikali ya Rais JPM). Baadae akapandishwa mahakama ya Wilaya Momba kujibu mashtaka yanayomkabili. Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Zabibu Mpangule akamnyima dhamana.

Upande wa mlalamikiwa ukiongozwa na Wakili Msomi Rose Kayumbo ukakata rufaa mahakama kuu, kudai haki ya dhamana kwa mteja wao. Baada ya kupitia shauri hilo, mahakama kuu (masijala ya Mbeya) jana ikabatilisha uamuzi wa mahakama ya wilaya Momba na kumpa Ayubu dhamana. Kwa hiyo Ayubu akaachiwa kwa dhamana jana.

Lakini katika hali ya kustaajabisha, leo Polisi wamefika nyumbani kwake na kumkamata kwa maagizo ya Hakimu Zabibu Mpangule. Hakimu Mpangule anasema ameagiza Ayubu akamatwe tena kwa kuwa hana taarifa kama alishinda rufaa yake, kwa kuwa hajapewa nakala ya 'ruling' kutoka mahakama kuu.

Sasa wanasheria njooni mtoe ufafanuzi kwenye mambo yafuatayo:

1. Je Hakimu anayo mamlaka ya kuagiza mtuhumiwa akamatwe tena baada ya kuachiwa na mahakama ya juu yake?

2. Je Hakimu wa Mahakama ya wilaya anayo 'mandate' ya kuchallenge maamuzi yaliyotolewa na Jaji wa mahakama kuu?

3. Kama Hakimu hakupata nakala ya 'ruling' hilo ni kosa la mtuhumiwa au kosa la Mahakama iliyomuachia huru?

4. Kukosa nakala ya "ruling" kunajustify mtuhumiwa kurudishwa rumande?

5. Ikiwa Hakimu Mpangule atapewa nakala ya 'ruling' je atamuachia Ayubu huru? Na kama akimuachia, je Ayubu anaweza kumshtaki Hakimu huyo kwa usumbufu alioupata?

6. Kitendo cha Hakimu Mpangule kufuatilia na kujua Ayubu ameachiwa na kuagiza akamatwe tena, lakini Hakimu huyohuyo akashindwa kufuatilia nakala ya 'rulling' haitoi tafsiri kuwa ana 'maslahi' na kesi hii?

7. Na kama ameanza kupambana na mtuhumiwa just kwenye dhamana, je ataweza kutenda haki kesi ya msingi (ya uchochezi) itakapoanza kusikilizwa?
 
Mwenyekiti wa BAVICHA mkoa wa Songwe Ayubu Sikagonamo alikamatwa na Polisi kwa tuhuma za uchochezi (kutumia mitandao kuikashifu serikali ya Rais JPM). Baadae akapandishwa mahakama ya Wilaya Momba kujibu mashtaka yanayomkabili. Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Zabibu Mpangule akamnyima dhamana.

Upande wa mlalamikiwa ukiongozwa na Wakili Msomi Rose Kayumbo ukakata rufaa mahakama kuu, kudai haki ya dhamana kwa mteja wao. Baada ya kupitia shauri hilo, mahakama kuu (masijala ya Mbeya) jana ikabatilisha uamuzi wa mahakama ya wilaya Momba na kumpa Ayubu dhamana. Kwa hiyo Ayubu akaachiwa kwa dhamana jana.

Lakini katika hali ya kustaajabisha, leo Polisi wamefika nyumbani kwake na kumkamata kwa maagizo ya Hakimu Zabibu Mpangule. Hakimu Mpangule anasema ameagiza Ayubu akamatwe tena kwa kuwa hana taarifa kama alishinda rufaa yake, kwa kuwa hajapewa nakala ya 'ruling' kutoka mahakama kuu.

Sasa wanasheria njooni mtoe ufafanuzi kwenye mambo yafuatayo:

1. Je Hakimu anayo mamlaka ya kuagiza mtuhumiwa akamatwe tena baada ya kuachiwa na mahakama ya juu yake?

2. Je Hakimu wa Mahakama ya wilaya anayo 'mandate' ya kuchallenge maamuzi yaliyotolewa na Jaji wa mahakama kuu?

3. Kama Hakimu hakupata nakala ya 'ruling' hilo ni kosa la mtuhumiwa au kosa la Mahakama iliyomuachia huru?

4. Kukosa nakala ya "ruling" kunajustify mtuhumiwa kurudishwa rumande?

5. Ikiwa Hakimu Mpangule atapewa nakala ya 'ruling' je atamuachia Ayubu huru? Na kama akimuachia, je Ayubu anaweza kumshtaki Hakimu huyo kwa usumbufu alioupata?

6. Kitendo cha Hakimu Mpangule kufuatilia na kujua Ayubu ameachiwa na kuagiza akamatwe tena, lakini Hakimu huyohuyo akashindwa kufuatilia nakala ya 'rulling' haitoi tafsiri kuwa ana 'maslahi' na kesi hii?

7. Na kama ameanza kupambana na mtuhumiwa just kwenye dhamana, je ataweza kutenda haki kesi ya msingi (ya uchochezi) itakapoanza kusikilizwa?
Kwani umeambiwa kuna asiye utaka ujaji?
 
Hii ndo due process inayolalamikiwa na balozi za "mabeberu"

Anyway huyu hakimu disciplinary action inamsubiri, hata siku moja resident magistrate hawezi ingilia maamuzi ya jaji wa mahakama kuu.
 
Anatafuta ujaji Huyo....kiki iliyobakia ili upande cheo kwa mahakimu na polisi ni kupambana na upinzani.
 
Tutaona mengi wakitendewa watu wa CHADEMA
Mwenyekiti wa BAVICHA mkoa wa Songwe Ayubu Sikagonamo alikamatwa na Polisi kwa tuhuma za uchochezi (kutumia mitandao kuikashifu serikali ya Rais JPM). Baadae akapandishwa mahakama ya Wilaya Momba kujibu mashtaka yanayomkabili. Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Zabibu Mpangule akamnyima dhamana.

Upande wa mlalamikiwa ukiongozwa na Wakili Msomi Rose Kayumbo ukakata rufaa mahakama kuu, kudai haki ya dhamana kwa mteja wao. Baada ya kupitia shauri hilo, mahakama kuu (masijala ya Mbeya) jana ikabatilisha uamuzi wa mahakama ya wilaya Momba na kumpa Ayubu dhamana. Kwa hiyo Ayubu akaachiwa kwa dhamana jana.

Lakini katika hali ya kustaajabisha, leo Polisi wamefika nyumbani kwake na kumkamata kwa maagizo ya Hakimu Zabibu Mpangule. Hakimu Mpangule anasema ameagiza Ayubu akamatwe tena kwa kuwa hana taarifa kama alishinda rufaa yake, kwa kuwa hajapewa nakala ya 'ruling' kutoka mahakama kuu.

Sasa wanasheria njooni mtoe ufafanuzi kwenye mambo yafuatayo:

1. Je Hakimu anayo mamlaka ya kuagiza mtuhumiwa akamatwe tena baada ya kuachiwa na mahakama ya juu yake?

2. Je Hakimu wa Mahakama ya wilaya anayo 'mandate' ya kuchallenge maamuzi yaliyotolewa na Jaji wa mahakama kuu?

3. Kama Hakimu hakupata nakala ya 'ruling' hilo ni kosa la mtuhumiwa au kosa la Mahakama iliyomuachia huru?

4. Kukosa nakala ya "ruling" kunajustify mtuhumiwa kurudishwa rumande?

5. Ikiwa Hakimu Mpangule atapewa nakala ya 'ruling' je atamuachia Ayubu huru? Na kama akimuachia, je Ayubu anaweza kumshtaki Hakimu huyo kwa usumbufu alioupata?

6. Kitendo cha Hakimu Mpangule kufuatilia na kujua Ayubu ameachiwa na kuagiza akamatwe tena, lakini Hakimu huyohuyo akashindwa kufuatilia nakala ya 'rulling' haitoi tafsiri kuwa ana 'maslahi' na kesi hii?

7. Na kama ameanza kupambana na mtuhumiwa just kwenye dhamana, je ataweza kutenda haki kesi ya msingi (ya uchochezi) itakapoanza kusikilizwa?
 
Kuna Mambo hayapo sawa kimfumo. Naamini kesi inapoenda mahakama ya juu huwa file huitishwa. Baada ya maamuzi ya kesi hiyo naamini hurudishwa kwenye mahakama husika ili kuendelea na kesi ya msingi.

Sasa Kama hajaitisha file kujua maamuzi ya mahakama ya juu anamshika ntuhumiwa kwa kigezo gani? Ni kitu gani kilimfanya ahisi ntuhumiwa kaachiwa bila kufuata utaratibu.

Ngoja tuone kitakachofuatia
 
Hoja ni kwamba file halijarudi mahakama ya wilaya na inaelekea yeye hajapewa notice yoyote ama na process server kutoka High Court wala parties.
 
Kuna Mambo hayapo sawa kimfumo. Naamini kesi inapoenda mahakama ya juu huwa file huitishwa. Baada ya maamuzi ya kesi hiyo naamini hurudishwa kwenye mahakama husika ili kuendelea na kesi ya msingi.

Sasa Kama hajaitisha file kujua maamuzi ya mahakama ya juu anamshika ntuhumiwa kwa kigezo gani? Ni kitu gani kilimfanya ahisi ntuhumiwa kaachiwa bila kufuata utaratibu.

Ngoja tuone kitakachofuatia
Huyo hakimu kajuaje ameachiwa? Alienda kufanya ukaguzi magereza?
 
Mwenyekiti wa BAVICHA mkoa wa Songwe Ayubu Sikagonamo alikamatwa na Polisi kwa tuhuma za uchochezi (kutumia mitandao kuikashifu serikali ya Rais JPM). Baadae akapandishwa mahakama ya Wilaya Momba kujibu mashtaka yanayomkabili. Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Zabibu Mpangule akamnyima dhamana.

Upande wa mlalamikiwa ukiongozwa na Wakili Msomi Rose Kayumbo ukakata rufaa mahakama kuu, kudai haki ya dhamana kwa mteja wao. Baada ya kupitia shauri hilo, mahakama kuu (masijala ya Mbeya) jana ikabatilisha uamuzi wa mahakama ya wilaya Momba na kumpa Ayubu dhamana. Kwa hiyo Ayubu akaachiwa kwa dhamana jana.

Lakini katika hali ya kustaajabisha, leo Polisi wamefika nyumbani kwake na kumkamata kwa maagizo ya Hakimu Zabibu Mpangule. Hakimu Mpangule anasema ameagiza Ayubu akamatwe tena kwa kuwa hana taarifa kama alishinda rufaa yake, kwa kuwa hajapewa nakala ya 'ruling' kutoka mahakama kuu.

Sasa wanasheria njooni mtoe ufafanuzi kwenye mambo yafuatayo:

1. Je Hakimu anayo mamlaka ya kuagiza mtuhumiwa akamatwe tena baada ya kuachiwa na mahakama ya juu yake?

2. Je Hakimu wa Mahakama ya wilaya anayo 'mandate' ya kuchallenge maamuzi yaliyotolewa na Jaji wa mahakama kuu?

3. Kama Hakimu hakupata nakala ya 'ruling' hilo ni kosa la mtuhumiwa au kosa la Mahakama iliyomuachia huru?

4. Kukosa nakala ya "ruling" kunajustify mtuhumiwa kurudishwa rumande?

5. Ikiwa Hakimu Mpangule atapewa nakala ya 'ruling' je atamuachia Ayubu huru? Na kama akimuachia, je Ayubu anaweza kumshtaki Hakimu huyo kwa usumbufu alioupata?

6. Kitendo cha Hakimu Mpangule kufuatilia na kujua Ayubu ameachiwa na kuagiza akamatwe tena, lakini Hakimu huyohuyo akashindwa kufuatilia nakala ya 'rulling' haitoi tafsiri kuwa ana 'maslahi' na kesi hii?

7. Na kama ameanza kupambana na mtuhumiwa just kwenye dhamana, je ataweza kutenda haki kesi ya msingi (ya uchochezi) itakapoanza kusikilizwa?
Hayo maswali saba kama JK angeliyajua na kuyafanyia kazi kwa hakika asingejibu kuwa "hajui kwa nini tunaendelea kuwa masikini", na tulidhani kuwa enzi hizi za viwanda watendaji wameshayaelewa kumbe bado!

Wewe unayaelewa na ndio maana unajua ni kwa nini hatusongi mbele. Inasikitisha sana japo
 
Hata kama file halijarudi, je ni kazi ya hakimu kufuatilia status ya mshtakiwa / mtuhumiwa au kutekeleza amri aliyoitoa? Sio kwamba kazi yake ni kusikiliza maombi yanayoletwa mbele yake na kuyatolea uamuzi?
Hoja ni kwamba file halijarudi mahakama ya wilaya na inaelekea yeye hajapewa notice yoyote ama na process server kutoka High Court wala parties.
 
Huyo ni mmoja wa Mahakimu wasiojitambua. Jaji Mkuu toa neno kuweka sawa hiyo habari.
 
jail cell sio kuzuri jamani kuwa mpinzani sio kama ni muasi tupendaneni tu
 
Back
Top Bottom