Hawa madereva hawana umoja na hawajitambui kwasababu haiwezekani hii ishu ya dengue risiti imeandikwa walipie 1000 wao wajanja wachache wamebadilisha na kusomeka elfu 65000 nao wamelipa.
Hata kama ni hizo dawa za kupulizia haiwezi kufika 65 na isitoshe serikali ilishasema imeweka milion 500 za kupambana na dengue.
Hawa jamaa wangegoma kama wa malori walivyomgomeaga mzee wa misifa Magufuli wasingelipia hata 100, ukizingatia DENGUE ni ishu ya kisiasa zaidi.
Hata kama ni hizo dawa za kupulizia haiwezi kufika 65 na isitoshe serikali ilishasema imeweka milion 500 za kupambana na dengue.
Hawa jamaa wangegoma kama wa malori walivyomgomeaga mzee wa misifa Magufuli wasingelipia hata 100, ukizingatia DENGUE ni ishu ya kisiasa zaidi.