Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 601
Tangu utaratibu wa kuchukua salary advance uanze kwenye benki zetu Kuna jambo Moja ajabu sana.
Hakuna anayependa ijulikane..watu wanajisevia kimya kimya. Yaani kwenye hili ama wanaojua ni benki pekee. Hakuna anayefanya kiwazi wazi
Sasa kasheshe iko kwenye kuona balance mwisho wa mwezi. Mimi mwenyewe nishapata tabu kuamini kiasi kimeenda wapi kumbe salary advance..
Yote haya ni kutokana na ugumu wa maisha watu wanachukua sana hata kama watabisha
Hakuna anayependa ijulikane..watu wanajisevia kimya kimya. Yaani kwenye hili ama wanaojua ni benki pekee. Hakuna anayefanya kiwazi wazi
Sasa kasheshe iko kwenye kuona balance mwisho wa mwezi. Mimi mwenyewe nishapata tabu kuamini kiasi kimeenda wapi kumbe salary advance..
Yote haya ni kutokana na ugumu wa maisha watu wanachukua sana hata kama watabisha