Maajabu ya Kisiwa cha Bermuda

Na ile Meli ya Mv Bukoba, imechukuliwa na Alliens, yupo Mzamiaji mmoja alishuhudia hayo akiwa chini katika harakati za Uopoaji Maiti, alipo ibuka juu, akiwa na nia ya Kueleza/kuhadithia kile alicho kiona, ghafla alipatwa na UBUBU....!!

Tunakumbuka wote, pale Divers (Wazamiaji) kutoka nchini Afrika ya Kusini, walipo kuja kwa nia ya kusaidia zoezi hilo, inasemekana ilikuwa ni mbilinge mbilinge ya vuta nikuvute, kati ya Wazamiaji na Vinyambululu (Vibwengo) wa chini ya Bahari, Binaadamu akitaka kuchukua Mwili wa Marehemu, na hawa Alliens waking'ang'ania Maiti kwa nia ya Kunyonya Damu pamoja na kula Nyama.

Wazamiaji walishindwa zoezi, japo siri ilivuja kuwa walishauri, ili kazi ya uopoaji iweze kuendelea, waliomba watoe kafara ya kumwaga Damu na Nyama, kwa kuchinjwa Ng'ombe angalau Kumi, na Mizoga yake imwagwe sehemu ya tukio, Wazee na Serikali walilikataa hilo.

Hatimae zoezi kushindikana, na Wazamiaji (wa kigeni) kufungasha Mizigo na kurudi kwao...!!

NB: Wahenga wanalijua hili tukio vizuri.

Cc: Mshana Jr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii story story cikuwah kuisikia.
Mshana Jr tupe ABC mkuu
 
Kuna mchungaji alikuwa anasema anatoa hadi majini ya Bermuda.......duuu nikakumbukaa jf
 
Kuna watoto wakali sana pale, ngoja mvua iishe niende tcra kuomba ruhusa/kibali cha kuwawekea hii video na hizi jpeg

weka tu hizo video na picha nani kakwambia mpaka kibali ? kama ziko sawa lete tu tuangalie uzuri wa visiwa vya Bermuda
 
Uko ndani ya ndege. Kukiwa na utulivu mkubwa ambapo watu wengi wanaonekana kusinzia. Umejiegemea kwenye seat yako ukitafakari hili na lile.. Ghafla unaskia sauti ya kilio cha mtoto mchanga kwa mbali.. unageuka huku na kule na unajiridhisha sauti ile unayoiskia haitoki ndani ya ndege bali nje.

Unajiuliza mara mbili mbili.. unashangaa . Ghafla unajiskia ulazima wa kwenda haja ndogo, unapokaribia mlango wa choo unaanza kuhisi mle ndani ya choo kuna nyoka kibao. Unajipa ujasiri na kufungua mlango, mlango haufunguki. Unasukuma tena kwa nguvu mlango bado haufunguki.

Unapata hisia kuna nyoka mkubwa yuko mlangoni ndio maana mlango haufunguki.Unaamua kuahirisha tukio unarudi kukaa kwenye kiti chako, ile kukaa tu unakutana na boonge la mtikisiko (turbulent). unaanza kuhisi ndege inadondoka&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];unaangalia saa..ni saa 5 usiku na bado kuna kama masaa matano kabla ya ndege kutua.

Unafungua dirisha kuangalia nje ni giza totoro, unachokishuhudia nje ni mvua kubwa na radi, pia sauti ya kilio cha kitoto kichanga inasikika zaidi. Isitoshe unaskia mshindo mkubwa kwa mbali. Haraka unafunga dirisha.Unaamua kupambana na hofu kwa kujiimbisha,&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];Mbinguni..kuna makao mazuri sana.

unaangalia pembeni unajistukia umekuwa ukiimba kwa sauti kiasi cha kuwaamsha baadhi ya abiria wenzako ambao wanakuangalia kwa jicho la kukushutumu na pia unajistukia ni kama wimbo wenyewe unakusuta vile kwa mazingira uliyonayo. Unajaribu kupotezea kwa kujichekesha lakini sauti inayotoka inakuwa ya ajabu kutokana na hofu uliyonayo.

Unaacha kuimba na kuiruhusu hofu iliyokushika itawale. Unawasha kitv unaangalia geographical location ulipo&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; ramani inakuonesha unapita kisiwa cha Bermuda.Kijasho chembamba kinakutiririka japo kuna AC. Unatamani ushuke.
Ndege gani hiyo unayofungua dirisha?
 
ndo hiyo inaitwa bermunda triangle.. ni uzushi tu.. wazungu wameuza vitabu, wamecheza muvi nk. they make a lot of money out of that myth.. si kweli.. ni kama hadithi za nguva (samaki mtu)
Kuna mshikaji mmoja anahadithia story yake kwenye kipindi cha sitasahau radio free Africa kila jpili,ss jpili ya juzi aliongelea story ya hapo Bermuda triangle,kwa maelezo yake ambayo ameyapata huko gamboshi pale Bermuda ndio kuna mlango wa kuzimu na mbinguni
 
Back
Top Bottom