Maajabu ya karanga mbichi kimatibabu

Mim naomba nitoe Ushuhuda kidogo nilikuwa na hili tatizo kiukwel nilifikia level mbaya mi nilipiga sana nyeto nazan nilipitiliza had kwa siku nilifanya 3 au 4 had nipo chuo kikuu but nilianza kupata serious problems hasa maumivu ya mgongo, kichwa kupoteza kumbukumbu, mwili kukosa nguvu, umee kusinyaa na Kali kupita zote ni kukosa kabisa nguvu za kiume yaan hata ile kudinda tu ilikuwa ni ishu yaan umee kaz yake ilibaki kukojoa tu .baada ya kwenda hospital niliambiwa Nina tatizo la low sperm count Dr alinipa ushaur nitulie na nisifanye MAPENZ kwa zaid ya miez 6 ili nipate kukusanya mnegu ni kipind kirefu hiki nikasema saaa ,muunganiko wa hayo matukio yaliniumiza sana na kunifanya nikose sana raha , baada ya kuumia kwa muda niliamua kubadilisha mawazo na kuwa na hali ya kujiamin na kusema hili ni tatizo dogo sana kwangu . nikaamua kuingia kutafuta tiba asili (japo walikula pesa zangu na sikufanikiwa kitu chochote kile ) nilianza kutumia vyakula vya tiba asili kama nilivyo elezea kwa ufupi Sana hapo chini. Kwa sasa mi nimepona na ninapiga mechi vizuri sana had wife huwa anashangaa nguvu hiz napata wap mwanzon alizana nameza Viagra ila baada ya kumpatia Maelezo kwa kina alinielewa. Mim nimepona kwa tiba aina nne tu . kwanza ni psychological awareness, pili vyakula vya asili, tatu ni mazoez ya kegeli na nne ni mazoez ya pumzi na hasa kukimbia kuna sadia sana speed za sperm ,tatu


Kwa wenye matatizo ya misuli kulegea na wenye tatizo la kuwahi kukojoa ni vyema wafanye mazoez ya kegel (Google mazoez ya kegel kwa wanaume ukifanya haya utaimarisha umee wako)

Kunywa sana tangawizi ya moto ikiwa Kali vile vile husadia kutibu

Fanya mazoez hasa kupiga squat na push up kwa sana bila kusahau zoez la kukimbia

Kuna ile juisi unanitengeneza kwa kuweka tende( toa zile mbegu zake), unga wa karanga mbichi(weka vijiko 3),unga wa habat soda(weka vijiko 3),unga wa uwatu(vijiko 3) ,ndizi za kuiva( weka ndiz moja ile kubwa au ndizi 3 kwa zile ndogo ) weka maziwa fresh kikombe kimoja cha yaan kipimo cha maziwa tanga fresh ile ndogo , ongezea punje 5 za kitunguu saumu uwe umemenya . baada ya hapo saga kwenye blenda vizur . kisha unaweza kunywa hiyo juisi yote kwa maana huwa ni kikombe kimoja cha chai ( hakikisha juisi inakuwa ni nzito KWA kuweka vioungo vyote sawa) usipoweza basi kunywa juisi hiyo vijiko 3 asubuhi ,mchana na JION na kama upo kazin tu unaweza kunywa asubuhi au unawexa kutumia JION hiyo juisi ya tende.

Tafuta asali mbichi ile halisi sio za kuchakachua uwe kabla ya kulala unachua kimtindo umee wako kwa asali mbichi na lala nayo hivyo hivyo husadia kuipa mishipa nguvu na afya tele na n vyyema ukilamba asal kijiko kimoja kabla ya kulala ni nzuri pia kwa nguvu na ubora wa mbegu pia ponda ponda vitunguu saumu na uwe unachua chua umee wako( hakikisha hupiga punyeto ) hiz zote ni KUTIBU tatizo la UMEE kusinyaa

Kunywa maji mengi

Na kutunza ubora na wingi wa mbegu zako ni vyema kufanya ngono kwa mpangilio maalum ili uweze kuzipa nafasi mbegu zikomae na kuongeza

Ila kula sana mbegu za maboga ( hiz usikalange cha kufanya andaa kwa kuweka kwenye maji kias kidogo tu kama nusu kilo za mbegu hizo then changanya ma chumvi kias ili upate radha then anika zikauke afu kula punje za mbegu hizo kwa wastan mbegu 100 asubuhi ,mchana jion )

Kula sana mboga za majani kwa wingi husadia kuongeza msukumo wa damu ambao ndiyo kiini cha kusadia mashine kusimama.


Dah yapo mambo mengi sana aiseee nimefanya na Nina Fanya kuna ma juisi mengi ya kutumia na vyakula kibao ambavyo mi Nimetumia na vinanipa matokeo bora kabisa . nimechoka kutype next time ntakuja kuelezea kwa undan baadhi ya vitu vya kufanya hasa ukiwa na mkeo /mpenz wako ukiwa naye achana na mawazo ya kuwaza utawahi kukojoa , au simu umee kulala ww mwandae vizur mke wako hata saa zima na kwa ufundi hii itakusadia hali ya kujiamin na kukusadia kumfikisha mkeo mapema ambapo ukija kuingiza umee unakuwa unamaliza tu kaz . siri ya kutibu PUNYETO ni wewe kujiamin kwanza ondoa tabia ya wasi wasi

Jiepushee na madawa ya kijinga hujui ubora wake utajiumiza bure na kupoteza pesa zako kwa wahuni . siri zote ni vyakula asili tu

Ishu ya ubongo penda kucheza MICHEZO ya kutibu tatizo la kusahau let say mi nacheza sana Rubik's cube na puzzle words na zingine, juisi ya ubuyu , mboga za majani , kula sana mananasi n.k
Bila kusahau kumuomba sana mungu na kutubu zambi zote

Next time ntaendelea na somo kwa Leo inatosha
b981c32a55b504b8f864c4ebcfe7c0e7.jpg
61a8fcefdcf9d373f4ff73da7ae03a09.jpg
Aiseee...hongera sana kwa kushinda mtihani uliopitia Kaka, naona nilipopitia mimi nawe umepitia humo humo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom