kamanda kova ametangaza kwa kujigamba kua wamewakamata panya road...,.
My take: mbona kuna matukio mengi ya wizi wa rasirimali zetu zinazoibiwa na mafisadi na ushahdi upo na pia hata wao kuiba mali zinazongoja upelelezi mbona hawatupagi feedbak?
Wacha panya road watese si mliwaahidi maisha bora kama mafisadi wanatuibia kwa maandishi wao acha watumie nguvu....jeshi la polisi la kipumbavu sana yani.....
Hizo ni dalili za vuguvugu ya mapinduzi
My take: mbona kuna matukio mengi ya wizi wa rasirimali zetu zinazoibiwa na mafisadi na ushahdi upo na pia hata wao kuiba mali zinazongoja upelelezi mbona hawatupagi feedbak?
Wacha panya road watese si mliwaahidi maisha bora kama mafisadi wanatuibia kwa maandishi wao acha watumie nguvu....jeshi la polisi la kipumbavu sana yani.....
Hizo ni dalili za vuguvugu ya mapinduzi