Kuna siku mimi na jamaa yangu tulienda duka moja kununua funguo
Yalikuwepo ya aina nyingi
Kuna makufuri moja hivi kubwakubwa la pembe nne nlilipenda japo n kubwa haswa!
Nkaomb kulitazama ...nkalipenda
Nkaomba lingine tena
Wakanipa
Nikajaribu kufungua kwa funguo ya kufuri lingine ikafungua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.