Maajabu ya dunia: Hazina isiyo kifani ndani ya hekalu la mabaniani india!

Sijali

JF-Expert Member
Sep 30, 2010
2,589
1,679
Mkufu wa dhahabu wa urefu wa mita nne, tani kadhaa za dhabu halisi, masanamu yaliyotengenezwa kwa dhahabu na almasi, magunia kadhaa yaliyojaa vito vya zamani vyenye thamani kubwa vilivyotengenezwa kwa dhahabu na kunakshiwa kwa almasi, zumurudi, na vito vingine, ni baadhi tu ya hazina iliyokutwa katika makasha matano kati ya manane ndani ya hekalu la MABANIANI (Hindu) liitwalo Sree Padmanabhaswamy, huko Kerala, Kusini mwa India, wiki iliyopita.
Hazina hiyo iliyokuwa imefichwa ndani ya makasha hayo makubwa inasemekana ina umri wa zaidi ya miaka 130. Thamani ya mali hiyo iliyokwishafunguliwa hadi sasa inakadiriwa kuwa dola BILIONI 22, lakini wafanyibiashara wa Kimataifa wanasema hazina hiyo ina thamani ya dola BILIONI 100. Hii inalifanya hekalu hilo kuwa tajiri zaidi kuliko VATICAN ambayo utajiri wake unakadiriwa kuwa (vijisenti vya ) dola bilioni 15.
Na stori haishii hapo: bado kuna makasha matatu hayajafunguliwa. Kasha la sita litafunguliwa kesho Ijumaa!
Tayari Wahindi kadhaa wameingiwa na kiherehere cha kutaka kujaza viganja vyao (fistful) fungu la mali hiyo. Usithubutu! Kwani serikali ya Kerala, ishatuma vikosi vya polisi kulizunguka hekalu hilo. Malumbano makali yanaendelea sehemu nyingi za India kujadili ugavi wa mali hiyo nchini kote. Wakuu wa Kerala wanasema mali hiyo ibakie kwenye jimbo hilo, lakini wakuu wa Kitaifa wansema hazina hiyo inayotosha kuendesha Wizara ya Elimu ya India nzima kwa muda wa miaka miwili na nusu, iwanufaishe Wahindi wote!
Huu ni uvumbuzi wa hazina kubwa zaidi mahali pamoja katika historia ya mwanadamu!
 
Mkufu wa dhahabu wa urefu wa mita nne, tani kadhaa za dhabu halisi, masanamu yaliyotengenezwa kwa dhahabu na almasi, magunia kadhaa yaliyojaa vito vya zamani vyenye thamani kubwa vilivyotengenezwa kwa dhahabu na kunakshiwa kwa almasi, zumurudi, na vito vingine, ni baadhi tu ya hazina iliyokutwa katika makasha matano kati ya manane ndani ya hekalu la MABANIANI (Hindu) liitwalo Sree Padmanabhaswamy, huko Kerala, Kusini mwa India, wiki iliyopita.
Hazina hiyo iliyokuwa imefichwa ndani ya makasha hayo makubwa inasemekana ina umri wa zaidi ya miaka 130. Thamani ya mali hiyo iliyokwishafunguliwa hadi sasa inakadiriwa kuwa dola BILIONI 22, lakini wafanyibiashara wa Kimataifa wanasema hazina hiyo ina thamani ya dola BILIONI 100. Hii inalifanya hekalu hilo kuwa tajiri zaidi kuliko VATICAN ambayo utajiri wake unakadiriwa kuwa (vijisenti vya ) dola bilioni 15.
Na stori haishii hapo: bado kuna makasha matatu hayajafunguliwa. Kasha la sita litafunguliwa kesho Ijumaa!
Tayari Wahindi kadhaa wameingiwa na kiherehere cha kutaka kujaza viganja vyao (fistful) fungu la mali hiyo. Usithubutu! Kwani serikali ya Kerala, ishatuma vikosi vya polisi kulizunguka hekalu hilo. Malumbano makali yanaendelea sehemu nyingi za India kujadili ugavi wa mali hiyo nchini kote. Wakuu wa Kerala wanasema mali hiyo ibakie kwenye jimbo hilo, lakini wakuu wa Kitaifa wansema hazina hiyo inayotosha kuendesha Wizara ya Elimu ya India nzima kwa muda wa miaka miwili na nusu, iwanufaishe Wahindi wote!
Huu ni uvumbuzi wa hazina kubwa zaidi mahali pamoja katika historia ya mwanadamu!

hapo kwenye rangi nyekundu nilitaka kukupa kachangamoto kwa vile mara ya mwisho nilikuwa nafanya my homeWork juu ya Vatikan city niligundua kwamba ontop of vatican city yani kuwa ni kama nchi huru na makoloni kama kanisa karibia kila kona ya dunia hii. Piga ua vatican ipo kwa biashara ya realestate hebu angalia hapo bongo tuu. St Joseph ilipo alafu piga mahesabu samani ya hilo enero alafu imagine tuu dunia nzima makanisa yanayoongozwa na vatican na sehemu ambazo yapo. kama sijakosea America tuu vatican in hospitali 625 na mapato ya bilioni 30 alafu ni not for profit organisation. Siku wakitaka profits tutakoma. bado ujaweka mashule na mauniversities. Alafu hawa maaluwatani awalipi kodi kwahiyo profit ni 100% on the money.
 
vatican inahusianishwa je na utajiri wa MABANIANI? kama mna eleza mada acheni kutoa komprison ambazo hazina msingi. vito hivyo walimpa mungu wao labda. akakosa pa kuzipeleka akaziacha huko huko hekaluni.
 
inafanana na ile movie ya national treasure ya Nicholas Cage! Jamaa walikuta bonge la hazina kwenye mhekalu.
 
Waoh!, sipati picha iwapo ingugunduliwa Tz!
Mkuu! Kama ni Tz ungesikia tu kuwa ilikuwepo...!! Yani baada ya Magambaz kugawana na waliokosa ndo wangechoma utambi. Kumbuka ze EPA chezo lilivyopigwa. Magambaz ni vifaa bana.
 
unday, July 03, 2011 12:57:43 PM (IST) Share


[h=1]Kerala Temple's Second Chamber of Secrets - More Wealth in Store[/h]
Daijiworld Media Network
padmanabha1_061911-1.jpg
Thiruvananthapuram, Jul 3: After opening six cellers of one chamber at Lord Padmanabha Swamy Temple here, sources close to the temple disclosed that there was another chamber yet to be opened, which meant more wealth in store.
In the first chamber, gold ornaments and other jewelleries worth over Rs 1,00,000 crore were discovered.
On Sunday, the state government deployed tight security at the premises.
Speaking to reporters, police commissioner Manoj Abraham said that he has deployed special armed police force at the location. It is a temporary security arrangement, and there are plans to install a permanent security system at the temple.
Police fear that the huge quantity of jewellery and other articles found in the secret chamber may be misused. The audit was conducted in the presence of Supreme Court-appointed observers.
Police are planning to close multiple entry and exit points to the temple and install metal detectors. Even temple priests are under surveillance.
Devotees at the temple expressed anxiety over the possibility of someone misusing the huge wealth. Some of the devotees have already written to the government to preserve the articles found during auditing.\\\



[h=2] India: Treasure unearthed in Kerala temple [/h] 1,834 Views / EMail This Post / Print This Post / Home » India: Treasure unearthed in Kerala temple

By Ashraf Padanna
Kochi
_53810170_temple1.jpg
The temple was built in the 16th Century by the kings of Travancore

Treasure, thought to be worth billions of rupees, has been unearthed from secret underground chambers in a temple in the southern Indian state of Kerala.
Precious stones, gold and silver are among valuables found at Sree Padmanabhaswamy temple.
The riches are thought to have been languishing in the temple vaults for more than a century, interred by the Maharajahs of Travancore over time.
They have not been officially valued and inspectors are taking an inventory.
Inspectors say they will continue cataloguing the treasure for at least one more week.
Unofficial estimates say that the treasure discovered so far over four days of inspections may be valued at more than 25 billion rupees ($500m). But historians say that assessing the true value of these objects is likely to be extremely difficult.
Security has been stepped up at the temple: “I have instructed the police chief to reinforce security further following the
findings and it would be there permanently,” Oomen Chandy, the state’s chief minister, said.
Concealed riches
The Sree Padmanabhaswamy temple was built in the 16th Century
by the kings who ruled over the then kingdom of Travancore. Local
legends say the Travancore kings sealed immense riches within the thick
stone walls and vaults of the temple.
_53810255_maharajah.jpg
The current Maharajah of Travancore has been the managing trustee of the temple

Since Independence, the temple has been controlled by a trust
run by the descendants of the Travancore royal family. After 1947 the
kingdom of Travancore merged with the princely state of Cochin, which
eventually became the present-day state of Kerala.
The inspections at the temple began after India’s Supreme
Court appointed a seven-member panel to enter and assess the value of
the objects stored in its cellars, including two chambers last thought
to have been opened about 130 years ago.
The Supreme Court also endorsed a ruling by the high court in
Kerala, which ordered the state government to take over the temple and
its assets from the royal trust. It also ordered the trust to hand over
responsibility for the temple’s security to the police.
The initial court petition was brought by a local lawyer,
Sundar Rajan, who filed a case in the Kerala High Court demanding the
takeover of the temple, saying that the current controllers were
incapable of protecting the wealth of the temple because it did not have
its own security force.
Anand Padmanaban, counsel for Sundar Rajan, was present when
observers appointed by the Supreme Court opened the treasure chambers.
“Treasures included very old gold chains, diamonds and
precious stones which cannot be valued in terms of money,” he told the
BBC Tamil service.
“Many of those things were pretty old, going back to the 18th Century. They could not count it, so they are weighing it.”
Only two of four chambers had been opened so far, he said.
Royal wealth?
The current Maharajah of Travancore, Uthradan Thirunaal
Marthanda Varma, who is also the managing trustee of the temple,
appealed to the Supreme Court against Sundar Rajan’s petition.
He said that as Maharajah he had every right to control the
temple because of a special law enacted after Independence, which vested
the management of the temple with the erstwhile ruler of Travancore.
But his appeal was rejected - Maharajahs have no special status in India and they are treated like ordinary citizens.
The members of the Travancore royal family consider
themselves to be servants of the presiding deity at the temple,
Padmanabhaswamy, which is an aspect of the Hindu God Vishnu in eternal
sleep. This is why they historically entrusted their wealth to the
temple.
But there was a public outcry when the Maharajah attempted
to retain control of the temple by citing the special law, with many
arguing that the wealth belonged to the people now.
The vaults were opened in the presence of the panel, and
observers, which include high court judges, temple officials,
archaeology authorities, Sundar Rajan and a representative of the
current Maharajah.
Dandavats » Blog Archive » India: Treasure unearthed in Kerala temple
 
Back
Top Bottom