Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,139
- 20,776
Kuna waya zilikua zinagusana!
Kuna waya zilikua zinagusana!
Nakuhakikishia, nitaendelea kuwepo CCM na JF hata baada ya Mama. It's not a threat, but a promise!Nimekujibu na kulipa na majibu ya nyongeza. Ninakazia:
"Una uhakika gani kuwa wanaomsifia CCM hawamo?"
Povu lote hilo ni la Omo tu au cha Arusha kimo?
Mwaka huu mtaokota sana makopo hadi yaliyopo majalalani.
Nyambafu!!
Nakuhakikishia, nitaendelea kuwepo CCM na JF hata baada ya Mama. It's not a threat, but a promise!
Wengi hawakulifahamu hili.Dishi lilikuwa linayumba
Hiki kinawaudhi sana wafuasi wa dictetaMabibi na mabwana pongezi nyingi zimfikie mama Samia rais wetu.
Ama kwa hakika kajua namna za kukonga nyoyo za watu wake. Mama amekuwa muwazi. Sote sasa tunajua angalau tulipo na tunakoelekea.
Mama anaeleweka na mama anasomeka.
Mama hana makeke, mama hana kuomba omba kuombewa. Mama anajua anaongoza watu wenye akili zao si kundi la ng'ombe. Mama anachapa kazi.
Heka heka za kutafutana mitandaoni na ma bounty mazito mazito vichwani mwa watu yamekoma.
Pole pole tunaamini tutafika tu kunako mzizi wa yote kutakako tufanya tuwe watu wa furaha bila kujali nani yupo ikulu tena. Huko ni kunako katiba muafaka. Itakayotufanya tusijerejee tena kubaya kokote tulikotoka.
Kwa maneno yake mama mwenyewe, hii nchi ni yetu sote - na huu ndiyo ulio ukweli!
Ikumbukwe kuwa hotuba za mama zimeleta faraja si hapa nchini tu, bali hata katika mataifa alikokwisha kuzuru. Kwa hakika mama katutoa kimasomaso.
Hadhi yetu kama watanzania, inarudi.
Heko mama Samia Suluhu Hassan rais wetu.
Hadi hapa hakuzingui mtu.
Utekelezaji wa maelekezo ya mama bado.
Mabibi na mabwana pongezi nyingi zimfikie mama Samia rais wetu.
Ama kwa hakika kajua namna za kukonga nyoyo za watu wake. Mama amekuwa muwazi. Sote sasa tunajua angalau tulipo na tunakoelekea.
Mama anaeleweka na mama anasomeka.
Mama hana makeke, mama hana kuomba omba kuombewa. Mama anajua anaongoza watu wenye akili zao si kundi la ng'ombe. Mama anachapa kazi.
Heka heka za kutafutana mitandaoni na ma bounty mazito mazito vichwani mwa watu yamekoma.
Pole pole tunaamini tutafika tu kunako mzizi wa yote kutakako tufanya tuwe watu wa furaha bila kujali nani yupo ikulu tena. Huko ni kunako katiba muafaka. Itakayotufanya tusijerejee tena kubaya kokote tulikotoka.
Kwa maneno yake mama mwenyewe, hii nchi ni yetu sote - na huu ndiyo ulio ukweli!
Ikumbukwe kuwa hotuba za mama zimeleta faraja si hapa nchini tu, bali hata katika mataifa alikokwisha kuzuru. Kwa hakika mama katutoa kimasomaso.
Hadhi yetu kama watanzania, inarudi.
Heko mama Samia Suluhu Hassan rais wetu.
Hadi hapa hakuzingui mtu.
"....nawalipa wazee Wa CCM tu nyie wengine shauri yenu kwa sababu mko kwenye mavyama yasioeleweka labda mkiamua kujiunga na CCM nitawalipa. Serikali ya CCM ina hela nyingi. Tanzania ni dona cantri bwana. Hatuwezi kushindwa vipensheni tu kwa wazee wetu...!!!"Hata mimi nimeona. Hotuba yake iko vizuri. Imejaa busara na hekima sana...
Hata kama umeomba jambo lakini likawa haliwezekani kutekelezeka, anatoa maelezo ya wazi yenye sababu za kueleweka kirahisi kabisa...
Yaani hata kama mtu ulikuwa unadai deni, kwa maelezo haya tu, waweza kujikuta nguvu ya kudai inaisha hapohapo kwa kuwa unakuwa umeelewa maelezo na sababu za mdeni wako kushindwa kulipa deni...
Huu ndio uongozi sasa. Siyo kama Pombe Magufuli. Huyo mnyampara wala hakuwa kiongozi 100%...
Angalia tofauti yake. Wakati wa Jiwe, kwa kuwa wazee wameomba pensheni, nakuambia, mtu asingeshangaa wala kuona ajabu kusikia kauli kama hii kutoka kwake;
"....nawalipa wazee Wa CCM tu nyie wengine shauri yenu kwa sababu mko kwenye mavyama yasioeleweka labda mkiamua kujiunga na CCM nitawalipa. Serikali ya CCM ina hela nyingi. Tanzania ni dona cantri bwana. Hatuwezi kushindwa vipensheni tu kwa wazee wetu...!!!"
Lakini, aah huyu mama is very Inteligent, humble, humanly with full of wisdom....
Sijawahi kuipenda CCM wala viongozi wake. Ila huyu mama nadhani naweza kuanza kumuunga mkono kwa 100% sasa nje ya CCM...
Namwombea kwa Mungu Baba Yehova aendelee kumpa maarifa, busara na hekima ktk uongozi wake..AMINA..!!
sio kwamba Mama ni mzuri sana bali nyoyo zetu zilishaumizwa na Yule nyoka wa zamani, ibilisi shetani.Mabibi na mabwana pongezi nyingi zimfikie mama Samia rais wetu.
Ama kwa hakika kajua namna za kukonga nyoyo za watu wake. Mama amekuwa muwazi. Sote sasa tunajua angalau tulipo na tunakoelekea.
Mama anaeleweka na mama anasomeka.
Mama hana makeke, mama hana kuomba omba kuombewa. Mama anajua anaongoza watu wenye akili zao si kundi la ng'ombe. Mama anachapa kazi.
Heka heka za kutafutana mitandaoni na ma bounty mazito mazito vichwani mwa watu yamekoma.
Pole pole tunaamini tutafika tu kunako mzizi wa yote kutakako tufanya tuwe watu wa furaha bila kujali nani yupo ikulu tena. Huko ni kunako katiba muafaka. Itakayotufanya tusijerejee tena kubaya kokote tulikotoka.
Kwa maneno yake mama mwenyewe, hii nchi ni yetu sote - na huu ndiyo ulio ukweli!
Ikumbukwe kuwa hotuba za mama zimeleta faraja si hapa nchini tu, bali hata katika mataifa alikokwisha kuzuru. Kwa hakika mama katutoa kimasomaso.
Hadhi yetu kama watanzania, inarudi.
Heko mama Samia Suluhu Hassan rais wetu.
Hadi hapa hakuzingui mtu.
Hotuba yenye mpangilio,SSH anaweza akatuvusha,tumpe muda.
Yeah tumpe muda.
Hotuba yenye mpangilio,SSH anaweza akatuvusha,tumpe muda.
Mboga mboga wamenunaaaaaAjabu zaidi ni kuwa kuna watu wamenuna!
Mimi nilijibu niliyoona kwenye bandiko lako hapo, ya nini nihangaike na hayo mengine?Rejelea majibizano hayo yalikoyokea labda kama na wewe hoja yako ni kuwa mama anasifiwa na wasio wana CCM peke yao.
Mama Suluhu akifuata ushauri mbovu kama huu wako, atakuwa kiongozi mbovu zaidi.Tofautisha wana CCM na magenge yenu ya yale makabila ambayo mama inabidi afanye hima kuyazingua mapema iwezekanavyo.
Mimi nilijibu niliyoona kwenye bandiko lako hapo, ya nini nihangaike na hayo mengine?
Mama Suluhu akifuata ushauri mbovu kama huu wako, atakuwa kiongozi mbovu zaidi.
Natumaini anayo akili ya kutosha kuelewa na kuepuka jambo la kipuuzi kama hili uliloandika hapa.