Maajabu ya awamu hii, CAG akabidhi ripoti ya ukaguzi March 28, 2019 kimya kimya na Ikulu haikutaka umma ujue juu ya makabidhiano kati ya rais na CAG

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,867
FB_IMG_1553885923064.jpg
FB_IMG_1553885927077.jpg
 
Kitaeleweka

Bado kuna mengi yenye ukakasi na uchungu zaidi ya hayo

Kaa kitako, tulia, usiwe na jazba tizama tamthilia hii yenye episode ya mwisho 2020
 
Hahahhaha tatizo magufuli hutaki serikali yake ionekane hata na doa, na cha ajabu anataka kazi ya CAG afanye yeye. Hili jambo in long run itakuja leta madhara najua wanaoiba na kufaidika ndio hao wanaomshauri asifuatilie report ya CAG sabb si ASsad sio mtu wetu lkn yetu macho
 
Magufuli aliwaambia mabalozi wakiona tatizo lolote wasipost twitter bali waende kwa Waziri mwenye dhamana. Hata CAG ataambiwa tu siku akigundua watu wamepiga 1.5T, hakuna haja ya kuiandikia report bali amtonye Jiwe kimyakimya
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom