johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,571
Wanasaikolojia husema binadamu tunaona vitu kwa namna tunavyopenda kuona lakini siyo katika uhalisia wake.
Kiukweli kitendo cha mwanabodi Pascal Mayalla kupata kura moja kule Kawe pamoja na mikakati yote aliyotumia kuwashawishi wajumbe hakitasahaulika.
Lakini kubwa zaidi ni hawa wabunge maarufu waliopata kuwa mawaziri kurudi bungeni kwa njia ya dirishani badala ya mlangoni akina Dkt. Kigwangalla, January Makamba na Nape ambao kiukweli wanakwenda kuwakilisha jimbo na si Wanajimbo.
Kubwa kuliko ni pale Daktari Faustine alipomtuliza mtaalam wa uvuvi ni RC mstaafu Mh. Paul pale Kigamboni.
Johnthebaptist, mzee Mgaya na mchungaji Erasto tunawatakia watanzania wote uchaguzi wenye baraka.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu wabariki wabunge wateule hasa Iringa, Mbeya Tunduma, Hai, Same, Mikumi, Kawe, Nyamagana, Karatu, Vunjo, Arusha mjini na Kigoma ujiji.
Mungu mbariki diwani mteule kule Mbweni.
Maendeleo hayana vyama!
Kiukweli kitendo cha mwanabodi Pascal Mayalla kupata kura moja kule Kawe pamoja na mikakati yote aliyotumia kuwashawishi wajumbe hakitasahaulika.
Lakini kubwa zaidi ni hawa wabunge maarufu waliopata kuwa mawaziri kurudi bungeni kwa njia ya dirishani badala ya mlangoni akina Dkt. Kigwangalla, January Makamba na Nape ambao kiukweli wanakwenda kuwakilisha jimbo na si Wanajimbo.
Kubwa kuliko ni pale Daktari Faustine alipomtuliza mtaalam wa uvuvi ni RC mstaafu Mh. Paul pale Kigamboni.
Johnthebaptist, mzee Mgaya na mchungaji Erasto tunawatakia watanzania wote uchaguzi wenye baraka.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu wabariki wabunge wateule hasa Iringa, Mbeya Tunduma, Hai, Same, Mikumi, Kawe, Nyamagana, Karatu, Vunjo, Arusha mjini na Kigoma ujiji.
Mungu mbariki diwani mteule kule Mbweni.
Maendeleo hayana vyama!