You are welcome brother.Thanks for encouragement
P
You are welcome brother.Thanks for encouragement
P
Je unaona unavyotaka kuona ama unauona uhalisia wa mambo.Wanasaikolojia husema binadamu tunaona vitu kwa namna tunavyopenda kuona lakini siyo katika uhalisia wake.
Kiukweli kitendo cha mwanabodi Pascal Mayalla kupata kura moja kule Kawe pamoja na mikakati yote aliyotumia kuwashawishi wajumbe hakitasahaulika.
Lakini kubwa zaidi ni hawa wabunge maarufu waliopata kuwa mawaziri kurudi bungeni kwa njia ya dirishani badala ya mlangoni akina Dr Kigwangalla, January Makamba na Nape ambao kiukweli wanakwenda kuwakilisha jimbo na si Wanajimbo.
Kubwa kuliko ni pale Daktari Faustine alipomtuliza mtaalam wa uvuvi ni RC mstaafu Mh. Paul pale Kigamboni.
Johnthebaptist, mzee Mgaya na mchungaji Erasto tunawatakia watanzania wote uchaguzi wenye baraka.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu wabariki wabunge wateule hasa Iringa, Mbeya Tunduma, Hai, Same, Mikumi, Kawe, Nyamagana, Karatu, Vunjo, Arusha mjini na Kigoma ujiji
Mungu mbariki diwani mteule kule Mbweni.
Maendeleo hayana vyama!
Tunajifunza siasa za uchaguzi kwani 2025 siyo mbali panapo uzima!
Siasa haina kudhalilika bwashee ndio maana unaona akina Kibajaji, Mwigullu, Gambo wanadunda tu pamoja na yote yanayosemwa mitandaoni.
Hahaha kuna watu wanataka tukishindwa tusionekane.Tunajifunza siasa za uchaguzi kwani 2025 siyo mbali panapo uzima!
Siasa haina kudhalilika bwashee ndio maana unaona akina Kibajaji, Mwigullu, Gambo wanadunda tu pamoja na yote yanayosemwa mitandaoni.
Kwani kupata kura moja halafu ikajadiliwa kuna tatizo gani? Pascal atabaki kuwa pascal na heshima yake haishuki sababu wanajamii forum wanajadili na kufurahi kwa kura aliyoipata.Lakini staha izingatiwe, sie huyu ni mwenzetu tuko nae hapa JF bega kwa bega. Hao uliowataja umewaona hapa jukwaani mara ya mwisho lini?
Vile vile kwa kuwa yeye hajasema atagombea tena 2025, isingekuwa busara kumwadhibu kwa yaliyopita.
Maendeleo yana chama kwa awamu ya tano.
Umeshakuwa mkuu wa mkoa, unataka nini zaidi ?Kubwa kuliko ni pale Daktari Faustine alipomtuliza mtaalam wa uvuvi ni RC mstaafu Mh. Paul pale Kigamboni.
Heshima ya Pascal hapa JF inatambulikaKwani kupata kura moja halafu ikajadiliwa kuna tatizo gani? Pascal atabaki kuwa pascal na heshima yake haishuki sababu wanajamii forum wanajadili na kufurahi kwa kura aliyoipata.
Ndio.Heshima ya Pascal hapa JF inatambulika
Tunaishukuru hiyo kura moja uliyopata maana usingepata kitu ungekataa hukushiriki.Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , huku sasa ni kudhalilishana tuu, kuninanga kwa kupata kura moja!, Mimi kama member mwenzenu humu jf, baada ya jaribio lile, nilipandisha uzi huu
Nilitegemea haya yamekwisha!.Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!
Wanabodi, Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1! Japo nimeshindwa kwa kupata kura moja, lakini sababu za mimi kugombea ni very valid na very genuine...www.jamiiforums.com
Leo ni siku ya kupandisha mabandiko yenye powers za final blows, hivyo kunianzishia hivi siku yangu ni kuniharibia mood!.
Please do the needful.
P
Akiacha unafiki ataachwa, akiendelea kuwa mnafiki atapigwa tu.Lakini staha izingatiwe, sie huyu ni mwenzetu tuko nae hapa JF bega kwa bega. Hao uliowataja umewaona hapa jukwaani mara ya mwisho lini?
Vile vile kwa kuwa yeye hajasema atagombea tena 2025, isingekuwa busara kumwadhibu kwa yaliyopita.
Maendeleo yana chama kwa awamu ya tano.
Maana yake mchango wako wa kusifu kila kitu cha CCM, hasa watu wanaoumizwa wajumbe hawaukubali.Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , huku sasa ni kudhalilishana tuu, kuninanga kwa kupata kura moja!, Mimi kama member mwenzenu humu jf, baada ya jaribio lile, nilipandisha uzi huu
Nilitegemea haya yamekwisha!.Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!
Wanabodi, Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1! Japo nimeshindwa kwa kupata kura moja, lakini sababu za mimi kugombea ni very valid na very genuine...www.jamiiforums.com
Leo ni siku ya kupandisha mabandiko yenye powers za final blows, hivyo kunianzishia hivi siku yangu ni kuniharibia mood!.
Please do the needful.
P
Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , huku sasa ni kudhalilishana tuu, kuninanga kwa kupata kura moja!, Mimi kama member mwenzenu humu jf, baada ya jaribio lile, nilipandisha uzi huu
Nilitegemea haya yamekwisha!.Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!
Wanabodi, Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1! Japo nimeshindwa kwa kupata kura moja, lakini sababu za mimi kugombea ni very valid na very genuine...www.jamiiforums.com
Leo ni siku ya kupandisha mabandiko yenye powers za final blows, hivyo kunianzishia hivi siku yangu ni kuniharibia mood!.
Please do the needful.
P
Hakujipigia kura sababu yeye sio mjumbe wa kile kikaoUnataka kusema jamaa alipata kura yake mwenyewe
Kusema alipata kura moja ndio kumuadhibu?!!Lakini staha izingatiwe, sie huyu ni mwenzetu tuko nae hapa JF bega kwa bega. Hao uliowataja umewaona hapa jukwaani mara ya mwisho lini?
Vile vile kwa kuwa yeye hajasema atagombea tena 2025, isingekuwa busara kumwadhibu kwa yaliyopita.
Maendeleo yana chama kwa awamu ya tano.
Kwani kupata kura moja halafu ikajadiliwa kuna tatizo gani? Pascal atabaki kuwa pascal na heshima yake haishuki sababu wanajamii forum wanajadili na kufurahi kwa kura aliyoipata.
Kikwete alitukanwa weeee ila bado heshima yake ipo, na Mayalla wapo wanaomkebehi kwa hiyo kura ila wanayatamani mafanikio aliyofikia na heshima yake ipo na itaendelea kuwepo japokuwa kwa mtu wa aina yake kugombea kupitia ccm ni kuonyesha njaa
Duh...!. yamekuwa haya...!.Kuna mtu kanikumbusha kupigwa chini kwa pascal mayalla katika kura za maoni za wabunge nikawa nacheka tu nikajiuliza sasa mkuu alitaka apite awe mbunge kivipi? Kashindwa kuongoza watoto wake ambao hata 20 hawafiki ataweza kuingoza kawe yenye watu lukuki? Kashindwa kutatua kero za familia yake, atawezaje kutatua kero za wana kawe? Kawe kuna mambo kibao ambayo angeshindwa kuyatatua. Aanzie kwanza kujenga familia yake ndio aanze kuijenga kawe ya wenyewe, aanze kwanza kuwalea watoto wake na kuwafundisha adabu waache kutelekeza damu zao na baba yupo kiupaumbele kufundisha watoto zake tabia ya kukataa watoto. Uyo ndiye aliyetegemea angeupata ubunge kwa kulala na kuamka tayari mbunge¿????
Ccascal Mayalla
Ulipata kura ya mwanajf maana wewe sio mbunge, halafu kama Gwajizzo a.k.a Chid uliwahi Sema "kakambuni' kako kanakutosha.Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , huku sasa ni kudhalilishana tuu, kuninanga kwa kupata kura moja!, Mimi kama member mwenzenu humu jf, baada ya jaribio lile, nilipandisha uzi huu
Nilitegemea haya yamekwisha!.Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!
Wanabodi, Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1! Japo nimeshindwa kwa kupata kura moja, lakini sababu za mimi kugombea ni very valid na very genuine...www.jamiiforums.com
Leo ni siku ya kupandisha mabandiko yenye powers za final blows, hivyo kunianzishia hivi siku yangu ni kuniharibia mood!.
Please do the needful.
P
Pole comrade usikate TAMAAMkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , huku sasa ni kudhalilishana tuu, kuninanga kwa kupata kura moja!, Mimi kama member mwenzenu humu jf, baada ya jaribio lile, nilipandisha uzi huu
Nilitegemea haya yamekwisha!.Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!
Wanabodi, Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1! Japo nimeshindwa kwa kupata kura moja, lakini sababu za mimi kugombea ni very valid na very genuine...www.jamiiforums.com
Leo ni siku ya kupandisha mabandiko yenye powers za final blows, hivyo kunianzishia hivi siku yangu ni kuniharibia mood!.
Please do the needful.
P
Umezidi kiherehere kwa msukuma mwenzio!Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , huku sasa ni kudhalilishana tuu, kuninanga kwa kupata kura moja!, Mimi kama member mwenzenu humu JF, baada ya jaribio lile, nilipandisha uzi huu
Nilitegemea haya yamekwisha!.Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!
Wanabodi, Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1! Japo nimeshindwa kwa kupata kura moja, lakini sababu za mimi kugombea ni very valid na very genuine...www.jamiiforums.com
Leo ni siku ya kupandisha mabandiko yenye powers za final blows, hivyo kunianzishia hivi siku yangu ni kuniharibia mood!.
Please do the needful.
P