Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu ni rahisi kukubali kwamba mtu kategesha kitu kwenye gari kinachompa mwizi ugonjwa wa akili kuliko kuamini "uchawi".
Ukiniambia kuna madawa yametegeshwa katika gari kiasi kwamba mtu akija kuiba atasababisha ku trigger madawa hayo kuenea kwenye gari na kumharibu akili apaki gari na kuvua nguo na kuanza kucheza ngoma uchi, hilo linaweza kuwa explained biologically na chemically.
Ukiniambia gari lina uchawi itabidi unieleze huo uchawi unafanya kazi vipi.
Sent from my Kimulimuli
Natamani huyo mganga angeletwa na huku bongoView attachment 582522
Habari zinazochipuka hii leo toka Mombasa Nchini Kenya, wezi wawili yapata jana jioni waliliiba gari la bwana mmoja alilokuwa ameliegesha sehemu apate kinywaji kishe aende zake home, baada ya mabwana hao kufanya tendo hilo leo asubuhi wananchi wametamaushwa kwa kuwakuta wanaume hao wakicheza muziki kulizunguka gari hilo huku wakiwa uchi.
Gari hilo wanalodaiwa kuwa waliiba walikuwa wameliegesha pembeni huku nyoka wako shingoni!
Aisee iwe funzo kwa wengine, Mombasa hata shilingi haiokotwi, utashtukia umeliwa jicho usiku kucha ohhoo!
Mimi nimeshuhudiaWapi nimesema kwamba haupo?
Kama nimeuliza uchawi ni nini ina maana sielewi ni kitu gani, nitawezaje kusema kitu ambacho sikielewi hakipo?
Hujajibu maswali.
Uchawi ni nini?
Unajuaje kwamba upo na si hadithi tu?
Sent from my Kimulimuli
Hahah aiseeKwa hiyo wamechukuana wagonjwa wawili wa akili wakakuta gari wakavua nguo na kuanza kucheza au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakupotezea muda huyo,hua ana stress zakeMgonjwa wa akili ndo anacheza na nyoka uchi..... smh
Umeshuhudia nini na unajuaje kwa hakika kwamba ulichoahuhudia ndicho?Mimi nimeshuhudia
wakome
Jamaa unapendaga league sana, it seems una stress mob.Umesguhudia nini na unajuaje kwa hakika kwamba ulichoahuhudia ndicho?
Unaweza kushuhudia chemchemi ya maji jangwani, kumbe mirage.
Unaweza kushuhudia mtu kauawa, kumbe maigizo ya sinema.
Sent from my Kimulimuli
Hakuna cha sinema mkuu ,kwanza kuna dogo ghafla ilimtokea anapiga makelele na akaanza kukimbia watu wote walijua tayari uchizi umemuanza akakimbizwa wee akadakwa lkn alikuwa haeleweki akapelekwa muhimbili kwa dokta wa akili lkn mwisho tukagundua ni jini kaingiwa na kwa mahojiano wa yule jini ni kwamba yeye katumwa na usianze kubisha na kuleta mambo ya saikolojia ,kwa niliyoshuhudia kwa dogo mpaka matibabu yake amini uchawi upo na hili tukio usibishe sana kuna waganga watabe wapo kufanya maujinga haya wanaweza na hapo hao jamaa wapo unconscious ni majini wanafanya hivyoUmesguhudia nini na unajuaje kwa hakika kwamba ulichoahuhudia ndicho?
Unaweza kushuhudia chemchemi ya maji jangwani, kumbe mirage.
Unaweza kushuhudia mtu kauawa, kumbe maigizo ya sinema.
Sent from my Kimulimuli
Jamaa unapendaga league sana, it seems una stress mob.
You can't see stress, but you can feel it, wind likewise. Witchcraft likewise, yaani kuna ulimwengu wa roho, ambao macho yetu ya nyama hayawezi kuuona.
Save your energy, utahitaji kutetea nyumbu wenzako kwenye threads zingine za siasa.
Unajuaje kwamba ni jini na si hallucination au any other mental condition?Hakuna cha sinema mkuu ,kwanza kuna dogo ghafla ilimtokea anapiga makelele na akaanza kukimbia watu wote walijua tayari uchizi umemuanza akakimbizwa wee akadakwa lkn alikuwa haeleweki akapelekwa muhimbili kwa dokta wa akili lkn mwisho tukagundua ni jini kaingiwa na kwa mahojiano wa yule jini ni kwamba yeye katumwa na usianze kubisha na kuleta mambo ya saikolojia ,kwa niliyoshuhudia kwa dogo mpaka matibabu yake amini uchawi upo na hili tukio usibishe sana kuna waganga watabe wapo kufanya maujinga haya wanaweza na hapo hao jamaa wapo unconscious ni majini wanafanya hivyo
Wewe unayenijibu hupendi league?
Kwa nini unajibizana na mtu mwenye stress?
Wewe unayeamini vitu ambavyo havionekani wala kuthibitishika ni guluguja usiye na ubongo wala uti wa ubongo.
Unaenda kwa kujibiringita biringita tu.
Roho ni nini? Iko wapi? Unaweza kuthibitisha ipo na si stories tu?
Wacha kutetea ujinga hapa. Unatetea ujinga halafu unaniita mimi nyumbu wewe hayawani usiyejua la muadhini wala mchota maji msikitini?
Sent from my Kimulimuli
Wewe hujui kwamba hata nikikosa uthibitisho wa vyote ulivyotaja, hilo halithibitushi Mungu yupo.Wewe una uthibitisho wa kuwa hai kesho, una uthibitisho dunia, moon zina float aje kwenye maeneo yao. Una uthibitisho gani asteroids hazijaweza gongana na dunia.
There are superior unseen energies ewe nyumbu. Wewe usiyejua(not believing) haya mambo ndie mbumbumbu usie na ubongo wala uti wa mgongo.
Imani kubwa sana za uchawi na dini (supernatural beliefs) ni moja kati ya sababu kubwa kabisa Waafrika ni masikini.
Wakiendelea kuendekeza imani hizo hawatatoka kwenye umasikini kwa miaka hata 200 ijayo.
Sent from my Kimulimuli
Mkuu upo tayari kuwa lab rat or guinea pig kwenye hii ishu ya uchawi na ushirikina?? Hivi haujui kuwa kuna baathi ya vitu ni practically possible and they happen every day but theoretically you cannot make a reasonable explanation out of them?
This is Africa and waaaay before these white pigs came here we were practicing rituals and witchcraft as part of our normal social life. So the irony is you are so blinded by the western mode of life that you forget your own history.
Look around, you will be amazed how many things that happen are connected to supernatural powers. Welcome to Africa!!!