kadagala1
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,941
- 6,213
hata ule wa mwanaume mashine
hata ule wa mwanaume mashine
Exactly hili ndilo swali nikitaka nianze kumuuliza huyo ndugu and I guess najua swali linalofata hapo unless huyo ndugu aseme ni mpagani aamini Bible wala Quran atakua amerukaWewe ni mkristo au muislamu, ?. Answer me this first nikupe jibu la swali lako
Miaka yangu na nibapoishi vinahusikaje na habari hii?Una miaka mingapi? na unaishi wapi?
Wewe unajuaje kwamba haupo?Uchawi ni nini?
Unajuaje kwamba upo?
Sent from my Kimulimuli
Wapi nimesema kwamba haupo?Wewe unajuaje kwamba haupo?
Si umesema huamini.Wapi nimesema kwamba haupo?
Kama nimeuliza uchawi ni nini ina maana sielewi ni kitu gani, nitawezaje kusema kitu ambacho sikielewi hakipo?
Hujajibu maswali.
Uchawi ni nini?
Unajuaje kwamba upo na si hadithi tu?
Sent from my Kimulimuli
Sitaki kuamini. Nataka kujua.Si umesema huamini.
Unaujua upepo?Sitaki kuamini. Nataka kujua.
Sent from my Kimulimuli
Upepo naujua.Unaujua upepo?
Jibu swali number 40 la mkuu mmoja hapo juu then jibu la swali lako utapatiwaSitaki kuamini. Nataka kujua.
Sent from my Kimulimuli
Swali lenyewe linaonekana kukosa umakini.Jibu swali number 40 la mkuu mmoja hapo juu then jibu la swali lako utapatiwa
Sent using Jamii Forums mobile app