Mwenyekiti mwenyewe humu JF anajiita UCD, tafuta comments zake ndo utajua kichwa kilivyo tupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
uvccm wanaongozwa na akili ya maitiAugustino Matefu ni Mshenzi sana,ni mchumia tumbo,kuna kipindi aliact kama Mpemba kwenye mdahalo kuwasilisha maswala ya muungano,aliact kama mtu wa pemba ambaye anaupenda muungano sana!!
Huu ni muda wa kazi Maandamano 2020.Sasa Hawa wanapata wapi muda wa kuandamanaKama inavyonekana kwenye hii barua ndivyo hali ilivyo huko UV - CCM Kigoma. Hivi tutaendelea na hii Kasumba/Silaha ya kila mkosoaji sio Raia wa hii nchi mpaka lini? Vijana tuwaze kujenga hii nchi na sio kuibomoaView attachment 987006
Nimecheka sana sipati picha alivyokuwa anaigizaAugustino Matefu ni Mshenzi sana,ni mchumia tumbo,kuna kipindi aliact kama Mpemba kwenye mdahalo kuwasilisha maswala ya muungano,aliact kama mtu wa pemba ambaye anaupenda muungano sana!!
Alikuwa anaigiza kama mpemba kabisa ,lafudhi ya kipemba pure akiwakilisha watu wa pemba kwenye mdahalo wa kutoa maoni kuhusu muungano kwenye katiba mpya ndio hiyo siku BASHITE alimzaba vibao WARIOBA.Nimecheka sana sipati picha alivyokuwa anaigiza
huku ndiko ule mpango wa kumuuwa unakoanziaKama inavyonekana kwenye hii barua ndivyo hali ilivyo huko UV - CCM Kigoma. Hivi tutaendelea na hii Kasumba/Silaha ya kila mkosoaji sio Raia wa hii nchi mpaka lini? Vijana tuwaze kujenga hii nchi na sio kuibomoaView attachment 987006