Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
1. Tanzania kuuza umeme nje ya nchi...tuna gesi mita za ujazo zaidi ya trilioni 3000 (Prof. Mwongo).
2. Tanzania kununua Umeme wa bei Nafuu kutoka Ethiopia (Prof. Mwongo, Magufuli). 3.Tanzania kumaliza kabisa Tatizo la umeme baada ya ugunduzi na kuanza kutumika kwa gesi (Ngeleja).
4. Tanzania kuanza kusambaza gesi ya kupikia majumbani kupunguza matumizi ya Mkaa (Prof. Mwongo)
'Uprofesa siku hizi ni wa ovyooo kweli'.