Nakuona ulivo na wahka na shauku ya kugombana na keyboard, lakini swali ni ..Kumbe ma-great thinker ni wa kuhesabu humu ..Kaaz kwelikweli..
Lakini kipya ni kipi hapa?Nakuona ulivo na wahka na shauku ya kugombana na keyboard, lakini swali ni ..
Je una jipya??
<!-- google_ad_section_end --><!-- / sig -->
Ustaadh Mzizimkavu, usibishane nao hao, wamepigwa muhuri wa kupotea na allah, kama vile alivoleta hilo tetemeko kuua watu na kuunusuru msikiti.?!
Acha kushbikia ujinga,tuonyeshe hapo nyumba ya tofali katika hizo zilodondoka ili kujustfy hicho unacho shadadia.
Muwe mnafikiri kwanza ndipo mlete mbwembwe zenu.
Msikiti ni nini haswa? Msikiti bila watu una maana gani?