igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,590
- 3,346
Tutajie hiyo sheria na kanuni husika ili tujue. Pili hivi Tanzania kuna miti mingapi ambayo mwisho wa siku maji huishia baharini? Unaweza kutuambia kwa saa moja mto Ruvu hupitisha na kumwaga baharini lita ngapi za maji ili tuone athari inayoweza kutokea ikiwa watu 100 watanyonya maji kwa pump kwa ajili ya kilimo? Hivi unajua ni kwa nini watanzania zaidi ya 80 % wanaotegemea kilimo ni masikini wa kutupwa?! Unaweza kunitajia tajiri angalau mmoja tuu aliyetajirika kwa kilimo cha kutegemea mvua??Sheria zipo zinazohusiana na Uchepusha maji kwaajili ya umwagiliaji.
Yule mchina kama anavyovibali hana kosa lolote japo sheria zimeongela ikitokea kumetokea upungufu wa maji je anapaswa kufanyaje.
Sio tuu umwagiliaji ila hata mto unaokatiza nchi tofauti unazo kanuni zake katika matumizi ya maji ndo mana mnaona kuna malumbano kati ya Misri na Ethiopia.
Japo si egemei mahali popote hebu fikiria pasiwe na sheria za umwagiliaji alafu kuweko na wakulima kama wale 20 ambao ndani ya saa wametumia maji lita milioni moja kila mmoja. Je huo mto unakuwa na kitu gani.
Mchina atawajibishwa kama vibali hana au amekengeuka makubaliano ya matumizi ya maji kwa kipindi vha upungufu wa maji