fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,724
- 2,627
Hahhaa Mungu ni mkubwa
wataenda kuokota na hapo nini?View attachment 703961 View attachment 703960 Maajabu ya serikali hii na maigizo hayaishi. Vile vichwa vya treni tulivyoambiwa vimeokotwa bandarini na havina mwenyewe ni kichwa kimoja wapo kilichopata ajali kigoma na kuanguka.
Kumbe mwenyewe alishapatika na kashanunua kimya kimya na mambo yanaendelea kama kawaida
Kivipo mkuu? Labda sijakuelewa!
HABARI,
"Safari_ni_Safari,
Mada si inazungumzia kichwa cha treni kati ya vile vilivyokuwa havijulikani mmiliki,Sasa kile kichwa Number 9001 Cha bandarini hakifanani na kile kilichopata ajali angalia kwa kina utaona tofauti kubwa na pia kile kilichopata ajali ile Number 9001 sasa hapo hatujui ukweli ni upi.
LUMUMBA
Hii nchi ilipofikia kulia haiwezekani , kucheka ni majanga !View attachment 703961 View attachment 703960 Maajabu ya serikali hii na maigizo hayaishi. Vile vichwa vya treni tulivyoambiwa vimeokotwa bandarini na havina mwenyewe ni kichwa kimoja wapo kilichopata ajali kigoma na kuanguka.
Kumbe mwenyewe alishapatika na kashanunua kimya kimya na mambo yanaendelea kama kawaida
Unajua sheria ya manunuzi kwenye kununua vitu kama mashine au ndege?Nani alikudanganya kuwa kila tenda lazima ishindanishwe?
Ni wapi sheria ya manunuzi inasema KILA tenda lazima ishindanishwe?
Haya ndio matatizo ya kukalili maneno!
Ukificha moto mfukono basi moshi itakuumbuwaKutokujua wewe kama walishanunua haina maana kuwa hawajasema kama walinunua.
Kwa mfano, kuna mtu anaweza asijue kuwa kuna Dar es Salaam hapa duniani lakini haina maana kuwa haipo au haitangazwi kama ipo.
Tumia hata common sense katika fikra zako.
Pitia hii thread kuhusu tamko la serikali mwezi Oktoba 2017;
LINK>>>Vichwa 15 vya Treni Kununuliwa na Serikali
Nilijarbu urais nikasukumiwa huko, naomba mniombeeView attachment 703961 View attachment 703960 Maajabu ya serikali hii na maigizo hayaishi. Vile vichwa vya treni tulivyoambiwa vimeokotwa bandarini na havina mwenyewe ni kichwa kimoja wapo kilichopata ajali kigoma na kuanguka.
Kumbe mwenyewe alishapatika na kashanunua kimya kimya na mambo yanaendelea kama kawaida
Acha uzuzu, mtu mzima unapodondosha nguo mbele za watu huna budi kuchutama sasa hapa serikali imedondosha nguo dawa siyo kutetea dawa ni kukaa kimyaKutokujua wewe kama walishanunua haina maana kuwa hawajasema kama walinunua.
Kwa mfano, kuna mtu anaweza asijue kuwa kuna Dar es Salaam hapa duniani lakini haina maana kuwa haipo au haitangazwi kama ipo.
Tumia hata common sense katika fikra zako.
Pitia hii thread kuhusu tamko la serikali mwezi Oktoba 2017;
LINK>>>Vichwa 15 vya Treni Kununuliwa na Serikali
Ninafikiri sio tatizo la uongo. Kutakuwepo na tatizo jingine. Mnakumbuka mmama mmoja aliyekuwa mkuu wa mkoa na akatumbuliwa, na baada ya wiki kadhaa akateuliwa kuwa mbunge?Huyu mzee baba no.1 kwa uwongo duniani hakuna mfano wake
1.Kutangazwa kwa tendaUtaratibu wa manunuzi ni upi?
Weka hapa huo utaratibu ili tuone jinsi ambavyo umekiukwa kwa sababu kuna uwezekano umekalili tu neno ''utaratibu wa manunuzi''.