technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,842
Kwel kabisaa mkuuu..Hata hivyo anaonekana hajaishi maish yenye furaha huyu mtoto. Sura yake imejaa huzuni, mashaka, maswali mengi japo anajitahidi kuyafunika.
Ninatamani mtu atuweekee hapa simulizi yake. Ninayoyasema mtayaona tu. Shetani mbaya sana. Alizaliwa akiwa na nuru angavu, asili ya fuaraha na matumaini, dunia ikamfanya alivyo sasa. Furaha ya kutengeneza, maisha ya kuwafurahisha watu kuliko amani yake!. Watu wasiomthamini zaidi ya kumtumia. Maisha yake ni kwa ajili ya uhai wake na kamwe uhai wake haupo kwa ajli ya maisha yake. Kweli ni huzuni.
Sura yake imeezeeka kama vila ana miaka 36 kumbe ni 18. Hakuwahi kuwa na misha yenye utulivu hata.
Hawa wezi wa watoto wachukuliwe hatua kali.
That's rightDid u say 18?
Kumbe sura ya miaka 36 imeezeeka.mbona Zari yupo bomba?? Ungesema miaka 60