Maajabu: Kenya nao wafanya maandamano kupinga ukatili wa polisi Marekani

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,820
18,816
Raia wa Kenya wamefanya maandamano katika Ubalozi wa Marekani nchini humo kulaani mauaji ya Raia mweusi aliyeuawa na polisi nchini humo

Jambo la kustajaabisha Ni kuwa Kenya imekuwa iki trend duniani kwa ukatili wa polisi wao wanaopiga raia, kuua na kuwafungulia mbwa huku wakicheka

Lakini hawajawahi kufanya maandamano kupinga ukatili huo, je huku Ni kutokujielewa au Ni kutafuta attention?

Binafsi ningeshangaa hata Tanzania au nchi yoyote ya Africa wangeandamana kupinga ukatili wa polisi Marekani

Labda maandamano ya Marekani yangetuchochea na sisi kufanya maandamano dhidi ya polisi wetu na sio wa Marekani.

Screenshot_20200603-075327.png
Screenshot_20200603-080055.png
 
Unafki ni pale ana-trend kwa issue za watu wengine lakini huyuhuyu yupo silent on Kariobangi demolitions n Kenya's police brutality towards fellow Kenyans!
Police brutality and demolitions amongst other evils have never run Short of condemnation in Kenya and by Kenyans, evidence of the same is all over that I don't need to explain to you. Secondly, the US issue has been rebuked from all over across the world's nation of which Kenya and Kenyans aren't exceptional.
 
1academ,

'Mabeberu'. Leo naona humu kuna waafrika weusi, 'house niggers', ambao wanaunga mkono unyanyasaji wa hao hao mabeberu dhidi ya wenzao, wenye ngozi nyeusi kama zao. Kisa eti wakenya wameandamana, tena wakenya binafsi, ambao wana uraia pacha(wengi wao), urai wa marekani na wa Kenya pia. Kuna hadi wazungu kule marekani ambao wapo kwenye mstari wa mbele wakiandamana dhidi ya ubaguzi wa watu weusi. Yaani kwa kifupi wanadhihirisha kwamba licha ya ngozi zao nyeupe wana uafrika ndani yao. Zaidi hata ya baadhi ya hawa wenzetu wanaomwaga povu humu, wakiwa hapa hapa barani Afrika! Wanatumia hadi lugha yetu ya kiswahili kwenye maandamano yao kule US.

 
'Mabeberu'. Leo naona humu kuna waafrika weusi, 'house niggers', ambao wanaunga mkono unyanyasaji wa hao hao mabeberu dhidi ya wenzao, wenye ngozi nyeusi kama zao. Kisa eti wakenya wameandamana, tena wakenya binafsi, ambao wana uraia pacha(wengi wao), urai wa marekani na wa Kenya pia. Kuna hadi wazungu kule marekani ambao wapo kwenye mstari wa mbele wakiandamana dhidi ya ubaguzi wa watu weusi. Yaani kwa kifupi wanadhihirisha kwamba licha ya ngozi zao nyeupe wana uafrika ndani yao. Zaidi hata ya baadhi ya hawa wenzetu wanaomwaga povu humu, wakiwa hapa hapa barani Afrika! Wanatumia hadi lugha yetu ya kiswahili kwenye maandamano yao kule US.

Acheni unafiki polisi wenu wanaua kuliko wa Marekani, na hamuandamani, mnajali zaidi raia wa Marekani kuliko wenu?
Hatuungi mkono polisi kuua mtu yoyote, tunachosema ni hii double standard yenu.
 
Acheni unafiki polisi wenu wanaua kuliko wa Marekani, na hamuandamani, mnajali zaidi raia wa Marekani kuliko wenu?
Hatuungi mkono polisi kuua mtu yoyote, tunachosema ni hii double standard yenu.
Wanafik ni nyinyi, sielewi huo ubavu wa kuwakashifu wakenya wanaondamana, kwa sababu zozote zile, mnaupata wapi. Wabongo hata viongozi wenu kwenye ngazi za juu kabisa wakiuwawa, wakipigwa risasi au wakipotezwa huwa mpo mpo tu. Hata serikali yenu ikitafuna hela zenu huwa mnakunja tu mikia kwa uoga. Leo hii mnaruka ruka kisa wakenya ambao wana jamaa zao marekani na wengine ambao wana uraia pacha wameandamana kwasababu ya dhulma dhidi ya watu weusi. Wakenya wameandamana mara nyingi sana dhidi ya ukatili wa Kenya Police.
kenyan-protest.jpg
 
Wanafik ni nyinyi, sielewi huo ubavu wa kuwakashifu wakenya wanaondamana, kwa sababu zozote zile, mnaupata wapi. Wabongo hata viongozi wenu kwenye ngazi za juu kabisa wakiuwawa, wakipigwa risasi au wakipotezwa huwa mpo mpo tu. Hata serikali yenu ikitafuna hela zenu huwa mnakunja tu mikia kwa uoga. Leo hii mnaruka ruka kisa wakenya ambao wana jamaa zao marekani na wengine ambao wana uraia pacha wameandamana kwasababu ya dhulma dhidi ya watu weusi. Wakenya wameandamana mara nyingi sana dhidi ya ukatili wa Kenya Police.
kenyan-protest.jpg
Mi sikatai kwetu Kuna dhuluma, ndio maana hatujashoboka matatizo ya mbali Huko wakati tuna ya kwetu

Msiojoelewa Ni nyie, eti mnaandama mtu kauawa na polisi Marekani, wakati watu wenu wanauawa Kama kuku na hamuandamani, eti Wana uraia pacha, kwa hiyo uraia pacha mbona hawaandamani Wakenya wakiuawa?

Huu ukatili wa polisi wa Kenya dunia nzima inawezekana ndio mnaongoza
Screenshot_20200603-080055.jpg
 
Back
Top Bottom